Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRC Hawajui Hata Kuchagua Wao Ni Zoa Zoa Haina MvutoTreni zenyewe ndio hizo?
Hili litazinduliwa kwa mbwembwe sana muda ukifka ila baadaye linaweza kufail, sababu ya nauli kuwa kubwa na time distance.Isipokuwa na ufanisi unaotegemewa itakabidhiwa kwa jeshi kwa ajili ya matumizi yao ili wananchi wasihoji kama ilivyotokea kwenye ile boti ya Dar- Bagamoyo iliyozinduliwa mwishoni mwa mwaka 2014 na ikafeli kwenye ufanisi.
Mama akifeli mnasema ni fisadi, akifanikiwa mnasema ni juhudi za JPM. Acheni unafiki nyie CCM
Trip ngapi na bei kiasi ganiHayawi hayawi sasa yamekuwa, kesho trh 26.2.2024 tunatesti mitambo, mje kwa wingi tuone kama umeme wetu utaweza kumudu mzigo huu 😃!.
View attachment 2916191
Hiyo reli inamikopo taasisi zaidi ya 5 na bdo hata robo haijakamilika...sgr ni zaidi ya kausha damuHayawi hayawi sasa yamekuwa, kesho trh 26.2.2024 tunatesti mitambo, mje kwa wingi tuone kama umeme wetu utaweza kumudu mzigo huu [emoji2]!.
View attachment 2916191
Hivi si kwenye ile safari ya kwanza ya bombadier ya mwanzo kabisa ilijaaga mashati na magauni ya kijani eh?Kwanini TRC msichukue wana CCM kadhaa muende nao kwenye majaribio
Maana itakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama hiyo treni itapinduka na raia wema
Technology ya CCM?? Heri niendelee na pundaUkizoea punda huwezi kuamini technology.
Ukute wanataka kutangaza msiba WA kitaifa, sitaki kuwa kama wale wafanyabiashara mabilioneaVipi mzee unaogopa kupigwa shoti ya umeme na kukatikiwa umeme ukiwa ndani ya hiyo treni?
Utakuwa wewe ndiye unaendekeza hiyo kauli coz hadi kuileta hapa ni tayari umeonesha vile ulivyo.Mama akifeli mnasema ni fisadi, akifanikiwa mnasema ni juhudi za JPM. Acheni unafiki nyie CCM
TUNATESTi..!Trip ngapi na bei kiasi gani
Reli imepata moto.TUNATESTi..!