Majaribio ya treni ya SGR kufanyika Februari 26, 2024

Kama kuna mtu amesema Bimkubwa kachemsha basi huyo ni mwanaccm aliyetumwa na lile genge la kina 2025!.
Genge lipi? Hakuna wa kupambana na Samia huko Ccm, nyie mna kelele tu ila hamna ujasiri wa kumface Samia head on. Alijaribu Ndugai yako wapi? Huko ndio mwenyekiti wenu hadi 2030 na hamna la kumfanya.
 
Escape from sobiborπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu marekebisho. EMU hazijafika. Ni zile ziko kama nyoka. Zitafika mwezi wa tatu.
EMU electric multiple unit hizi zinakuwa set ya behewa zaidi ya mbili na kila moja inajiendesha.
Hii iliofanyiwa majaribio inavutwa na kichwa cha umeme tu mabehewa mizigo.
 
Unataka kusema zile dakika 90 zilikuwa za kichwa pekee yake.

Hizi 300 mlizotumia kufika Mori ni za mabehewa ya abiria.

Mkiongeza mabehewa ya mizigo mtatumia masaa 7 inaonekana
 
Tunachotaka niliona zile dakika 90 hayo mengine sisi hatujui.
 
We kiazi Kwa akili yako unadhani hiyo miradi isingekuwepo **** Cha maana huyo mama yako angefanya? Kuwa mkweli.

Juzi wametangaza deni la taifa kuongezeka Kwa trillion 12.7 ndani ya mwaka Moja ni hatari sana.

Nyie chawa ifike sehemu muine aibu
 
kiazi Kwa akili yako unadhani hiyo miradi isingekuwepo **** Cha maana huyo mama yako angefanya? Kuwa mkweli.
Ndio ingefanyika kwani kipi cha ajabu? Ipo kwenye mpango wa taifa wa miaka 5 na sio hiyo tu ndio maana JPM naye alikua tuna bomba la gesi, maji ya Victoria yamefika hadi Tabora, Lami mikoa yote, Shule kila kata, upanuzi wa Airport n.k So hakuna Rais ambaye hana miradi aliyofanya sema ushamba wenu na elimu ndogo kudhani JPM ndio muanzilishi na ndio wa mwisho kuifanya.

Juzi wametangaza deni la taifa kuongezeka Kwa trillion 12.7 ndani ya mwaka Moja ni hatari sana.
Nyie watu wa JPM hamjitambui kabisa. Kipindi JPM anakopa kwa ajili ya SGR mlikua mnajitetea kwamba kukopa sio tatizo cha msingi unakopa unafanya nini!! Sasa Mama anakopa amalizie bwawa, amalizie SGR, ajenge vituo vya afya nchi nzima n.k ila kelele!! Ambacho hujui deni la marekani ni 100%+ ya pato lao la taifa yaani deni la marekani ni zaidi ya pato lao. Ila mbona haijaporomoka kiuchumi?

Elimu ni muhimu sana kwa nyie warundi
 
We mwenye akili hebu tuambieni JPM alikopa kiasi gani Kwa miaka mitano na huyo mama kakopa shingapi Kwa miaka mitatu. Kutwa kuzurula na msafara ya ma best na ndugu hakuna Cha maana anafanya

Alafu anatokea chawa mjinga mflani anaitwa watu wanao hoji kuwa ni wa Jiwe. Hebu kuweni na akili japo mara moja kuliko kuwa mnajitoa ufahamu. Tena wewe ni kilaza wa mwisho kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…