Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dadekiii mwenye nacho hamkumbukag mwenye shidaHata 2025 hakuna mradi kwa sababu Rais fisadi ameshalitangazia Taifa kupitia TV ya Taifa kuwa fedha zitaanza kutafunwa japo wamekuwa wakivimbiwa kwa kutafuna pesa hizo.View attachment 2083917
Aisee umekomaa na hio video! Muache Mama afanye kazi.Hata 2025 hakuna mradi kwa sababu Rais fisadi ameshalitangazia Taifa kupitia TV ya Taifa kuwa fedha zitaanza kutafunwa japo wamekuwa wakivimbiwa kwa kutafuna pesa hizo.View attachment 2083917
Afanye kazi gani?Kulitafuna Taifa?Huyo unaemwita Mama ni fisadi.Aisee umekomaa na hio video! Muache Mama afanye kazi.
🤣🤣🤣Halafu hili neno mama alianzishaga nani waliopita hawakitwa mababa sasa huyu [emoji848][emoji848]
Sound zimekuwa nyingi[emoji397] [emoji577][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588]View attachment 2083806
View attachment 2083839View attachment 2083840View attachment 2083841View attachment 2083842View attachment 2083843
Mwanzoni ilikuwa November 2019, ikapangwa tena 2020 nayo ikashindikana.Serikali imetangaza kuwa majaribio ya treni ya umeme kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro yataanza Aprili 2022. Aidha, sasa treni zitaishia Kilosa kwani tayari kipande cha Morogoro-Kilosa kimeunganishwa.
Ujenzi wa kipande cha Dar- Morogoro ulitarajiwa kukamilika Aprili 2021. https://t.co/Bpu0BR9g43View attachment 2084057View attachment 2084059
Hata Mimi nakumbuka ilijengwa kwa kitumia michango ya Wana CCM.Chadema wasiruhusiwe kutumia SGR maana wamempinga sana JPM
Huyo jamaa huwa anatoa mawazo kama mgonjwa wa homa ya nonda.Ainikwe!Hata Mimi nakumbuka ilijengwa kwa kitumia michango ya Wana CCM.