Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Kwa hiyo unajaribia ambacho hakitatumika?Mlishaambiwa hicho ni kichwa cha majaribio...mbona wagumu kuelewa?
sasa kwann tufanye majaribio na ambavyo hatutokuja kuvitumia!
Majaribio yanayofanyika ni kwa ajili ya kucheck miundombinu kama imekaa sawa na ndio maana wanatumia hicho kichwa ambacho kimsingi ni cha mkandarasi japokuwa kimepitwa na wakati ila project itakavyokaa sawa na kukamilika na kujiridhisha kwamba miundombinu ipo poa kabla ya kukabidhi watafanya majaribio ya mwisho kwa kutumia vichwa na mabehewa husika kwani tayari risk mbalimbali zitakuwa zimeshaondoshwa based na majaribio ya hicho kichwa na serikali itakuwa imeshakamilisha tenda na manunuzi. (ilitolewa ufafanuzi kipindi flani nyuma wakati kimeingia hicho kichwa)sasa kwann tufanye majaribio na ambavyo hatutokuja kuvitumia!
Watu wanataka treni original itakayo-operate sasa sijui kama mifumo haijakaa sawa ikadondoka au kukatokea hitilafu yoyote itakuajeKinachofanyiwa majaribio ni njia ya reli, mifumo yake (umeme, mawasiliano n.k), namna ya uendeshaji 'operations...
Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama
Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Hiyo speed ni noma, sidhani kama ya kwetu watakuwa wanaipeleka hivyo maana tunaweza kuitungia sheria na kanuni kabisa ya namna ya uendeshaji wake ukizingatia hii tu iliyopo ya mwendo wa jongoo faulo kibao za kugongwa na magari na wananchi kuingilia miundombinu, achilia mbali kusimama vituo vingiTreni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
May be umeme mdogo🤣🤣Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Uko sahihi ila humu kuna team Machame ambayo inagangaika na topic zisizo tijaMajaribio yanayofanyika ni kwa ajili ya kucheck miundombinu kama imekaa sawa na ndio maana wanatumia hicho kichwa ambacho kimsing....
Kwa kuongeza, kujenga reli ni contract moja na kununua treni ni nyingine.Kinachofanyiwa majaribio ni njia ya reli, mifumo yake (umeme, mawasiliano n.k), namna ya uendeshaji 'operations...
Hivyo vichwa ni vya testing tu na vya mkandarasjHii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Wacha utoto.. hiyo ni ya majaribioHii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Hivyo viichwa siyo tu vya testing pia vinavuta mabehewa na inaenda kwa kasi ya ajabu. Iyo hapo chini ni norwayHivyo vichwa ni vya testing tu na vya mkandarasj