Unatumia masaburi kufikiri siku hizi?... hata magari serikali ianze kuagiza VX V8 used; itaokoa pesa nyingi sana za walipa kodi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia masaburi kufikiri siku hizi?... hata magari serikali ianze kuagiza VX V8 used; itaokoa pesa nyingi sana za walipa kodi.
Tutajuaje, labda umeweka fast forward speed kwenye mkanda wako wa video ya train ya kwa wenzetu? Hamna dogo ninyi!!Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Una kampuni ya consultancy?Mie nataka nione hiyo train ya sgr ya umeme iwe kama nyoka laini ipo chini chini kama Benz aliyozawadiwa mzee ruksa. Sio kitu limepanda rectangular, rough, hapo tunajuana kwani tahitaji nipewe mgao wangu.
Kwanini msilete picha hapa tuone na kushauri? Mnataka kutubwagia liwalo na liwe? Mnaficha nini?
Kwani wewe utaalamu wa reli ulisomea wapi?
Nimekuuliza utaalamu wa reli sio meli.Kwani nimesema mimi mtaalamu wa meli?
Wewe kwani akili zako hazifikirii? Umeshaambiwa majaribio, hicho kichwa kina mitambo mingi ya kupima ubora wa njia na kinarekodi na wataalam wanaifanyia kazi taarifa za hiyo mitambo. Kama Kuna marekebisho wafanye kabla ya kuingiza hiyo train ya mwendo kasi ikiwa na abiria.Sasa kwanini tufanye majaribio na ambavyo hatutokuja kuvitumia!
Wewe ndiye umeandika kitu sahihi.Hizi ndio ilikuwa zije ila kwa mujibu wa kale kadada kasemaji ka TRC anadai jamaa walifeli ku fullfil contract kwahio wakaamua kumpa order mtu mwengine [emoji23][emoji23][emoji23]! Kwahio kama kupigwa zoezi litakuwa limeanzia hapo kwenye kumpa tender mtu mwengine kwahio tegemeeni suprise tu.
Mwenye mradi wake alituchagulia hio inayoonekana kwenye picha ila alipokufa tu wahuni wamehamisha magoli.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo 2023 SGR itakuwa haijafika hata Gairo, tunasubiri.mama kasema mtumba kama kawa lazima tutumie hata kama hamtaki ! ambayo siyo mtumba hadi mwaka 2023
Angalia vizuri unaweza kuta wewe ndio mjinga. Umeambiwa tutanunu vya mtumba Hao korea inawezakuwa walinunua ulaya wakatumia wakavichoka wakatuuzia sisi kama mtumba sawa.IIi
I nayo kuja haitoki ulaya, inatoka Korea, wacha ujinga
Umechemka team Burigi ndo mnaompinga awamu ya 6!Uko sahihi ila humu kuna team Machame ambayo inagangaika na topic zisizo tija
Hii itawamaliza watu ikija, watu upenda kaa juu ya reli kama kijiweni cha kutongozea.Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Ndo tunaanza. Safari ni hatua.Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
SahihiWanaotengeneza hivi hitu wanapoanza hawatengenezi full product. Wanaanza na kitu kinaitwa prototype.. kinakuwa ni for testing kwanza. Zile data wanachukua ndio wanatumia kuendeleza au kuboresha main product.
Huwezi jaribia main product wakat product for testing ipo?
Una raise cost zisizo na maana
HapanaKwani wewe ni mtaalamu wa usafiri wa reli?
Daah hili nalo neno aka vivid example kukazia hojaUliona wapi Gari la kujifunzia udereva jipya? Umeambiwa kichwa cha majaribio hicho.