Majasusi wa Marekani wafichua namna walivyoipeleleza Tanzania

Naona umepanic sana, vipi wewe bado unamfulia maalimu seif nguo zake?
ww kwa mbinu zako ulizoingia nazo CCM lazima Mkuu wa Kitengo mr February atakutema mda si mrefu maana Akili yako imejaa shisha na ndumu, wenzako wanakula pesa za CCM kijanja na mbinu zao ni Digtal,lakini ww upo Analogia kwa 100% .
 
ww kwa mbinu zako ulizoingia nazo CCM lazima Mkuu wa Kitengo mr February atakutema mda si mrefu maana Akili yako imejaa shisha na ndumu, wenzako wanakula pesa za CCM kijanja na mbinu zao ni Digtal,lakini ww upo Analogia kwa 100% .
Nenda kwa Trump ndg yangu
 
ujamaa ulishajifia kitambo we cjui unaongea kitu gan
 
hapa saiz wanapredict atafuata nani baada ya mzee wa chato(dubai_
 
TRUMP is for WORLD mkuu
 
Wekeni wazi, hv kama ni vitu vzr mbona vinafichwa?
 
Sasa hivi mmebaki wenyewe huku JF na unyumbu wenu wa mitandaoni ila huko site wenzenu wameisha stukia utapeli wenu wameanza kurudi njia kuu.

Dhambi yenu kuu ilikuwa hapa View attachment 462691
Nyumbu ni CCM ambao wote wanaamini zidumu fikra za Mwenyekiti, Mzunguko wa pesa hakuna CCM nyumbu wamekariri zitakuja tu,Lugumi anadunda mtaani mmekariri ipo siku tu,Kivuko feki,mabehewa chakavu, Reli kwenda Airport,mmekariri ipo siku pesa itarejeshwa yaani nyumbu wa CCM ni wale wa Serengeti wanaohamia kenya kila mwaka, nyumbu wa CCM wanafurahia uwanja wa ndege chato na kununua ndege huku Lipumba akichotewa pesa Hazina kienyeji lakini hawathubutu kukemea,wamekalia kutengeneza uzushi na kuwanunua Wapinzani wenye njaa ili wawatumie kuwadhoofisha Ukawa.
 
Mkuu Kituko,kwa kweli ukitaka kujua jinsi Tanzania ya wakati ule ilivyokuwa inaheshimika pamoja na watu wake (chini ya Mwl. Nyerere), tembelea nchi za nnje na ukutane na wanasiasa/wanamapinduzi/wajamaa wa enzi hizo na wakuhadithie "umwamba wa Tanzania ya Mwalimu",hapo lazima utatoa machozi.
Kwa sasa si nchi,si CCM wala chama chochote cha upinzani kilichoweka mipango au sera za kuwaibua na kujenga vijana wenye moyo wa kweli wa uzalendo na upendo kwa Taifa lao zaidi ya kuangalia matumbo yao tu. Vijana kama Sabato Nyamsenda ni tunu sana kwa Taifa hili kama wangewekewa misingi mizuri ya kuwaendeleza kwa kuchukua mawazo yao na kuyafanyia kazi.
 
Hapo mwishoni unamaanisha nini?
 

bdo,
Unaonekana hujitambui!!!!
Unajua maana ya dikteta? Dikteta ni mtu anayetawala pasi kufuata KATIBA ya nchi the way your Presida Magufuli is ruling now!
Tabia ya KUZUIA MIKUTANO NA MAANDAMANO nchini mpaka 2020 ni ukiukwaji mkubwa wa Katiba ya nchi!Rais anayeweka watu kizuizini/mahabusu na kuwanyima dhamana ni kukiuka Katiba!
Rais anayeamrisha Wabunge wa upinzani wakamatwe na kuwekwa ndani kwasababu ya kumkodoa ni Dikteta tosha!
Hiyo karatasi ya vibaraka wa CCM kudai wanaongozwa kidikteta ni uchizi tu na sana ni gia ya kurudi CCM wala hakuna udikteta wowote hapo!
 
Hili ni halisi, hasa Robert Mugabe anapomliliaga Nyerere kila wakati.
 
Ushawishi wa nyerere kwa Tz nazan had anakufa Mzee bado alikuwa na nguvu sana.
Mzee nyerere alikuwa ni mjanja na mwenye ushawishi Mkubwa sana kwenye harakat za nchi za Africa na kuonesha hilo angalia alivyosadia mataifa mengi ya Africa kuwa huru na kuendesha harakat nying sana ikiwemo kuwakataa waz waz Israel na hata kufunga ubaloz wao kisa uvamiz wao kule Palestine, kutokuitambua Morocco, na harakat zake za kuhakikisha Africa linakuwa taifa moja (alikuwa moja ya waanzilishi hata w oau) na mengine kibao

Angalia Sera zake za kiuchumi na kisiasa alifanya mambo kwa umakin sana na hata hakuruhusu mabepali waweze kumpangia mambo hasa misimamo yake alikataa kuwa kibaraka

Na alichagua kuwa na wachina aliona ndiyo marafik wa maana angalia mambo waliochangia kuleta mapinduz ya viwanda enzi zake na miundombinu nyerere alifanya zaid hata marais wengine hakuna cha maana walichokuja kufanya ZAID ya kuharibu tu viwanda na mashirika ya umaa

Suala la Zanzibar lina maana zaid na usije kuona kwanini huu muungano hauwez kuvunjwa kuna mambo mengi yenye manufaa KWA faida yetu kama taifa . japo vijana wa sasa wanaona hauna maana ila Zanzibar ni sehemu muhimu ki usalama na mengine kwa kanda hii ya kwetu

Huenda ni kwel USA walimpuuzia baada ya kuona ana pumzika lakin ushawishi aliokuwa nao hata anafarik ndiyo ulikuwa unawashangaza mabepari.

Angalia tukio la kupatikana kwa raisi 1985 alichunguliwa mwinyi kitu ambacho hawakutegemea uje tena angalia tukio la kupatikana KWA raisi mkapa maamuz yake ndiyo yaliamua awe raisi.

Mzee alijenga misingi imara kwa taifa kias kupata vibaraka ilikuwa ngumu kwao aliunganisha taifa kidini na kiimani na tuliongea lugha moja ya utanzania tofaut na sasa u dini, ukabila ndiyo vimetanda moto

Mzee alikuwa ni kiongoz wa kipekee na aliongozwa na kuwa mzalendo zaid kwa Tz na Africa kiujumla.


R.I.P nyerere wabakia wachumia tumbo tu na wapenda sifa wanapiga kelele tu uzalendo wao ni wa kutia hofu
 
Kaka
Usinionee - sio mimi niliyeandika hio press release, utaniua bure - walio ongea na waandishi wa habari wanaufahamu ukweli zaidi, na walikuwa viongozi wa chama chao.

Ila ni ukweli kuwa Tundu Lisu (MB) wa Singida Mashariki ni Dikteta, angalia hoja za hao viongozi wenzake hawa hapa
 

mkuu Joel na bdo , ni ukweli ukifika nchi za kusini mwa Africa na ukakutana na wazee wa zamani wa hizo nchi watakupa heshima zote kama mTanzania, na watakupa Historia ambayo wala hukuifikiria wala kuijua, unafika Zimbabwe wale Askari veteran hawajui Kiswahili lakini wanajua Mguu pande, mguu sawa nyuma geuka nk, lugha ile ya Jeshi yote wanaijua na wanakwambia walikuwa wanafundishwa na Askari wa Kitanzania, na mpaka Zimbabwe inapata uhuru kuna Askari wengi wa Kitanzania walibakia kule na kuwa Wazimbabwe,
Kuna sehemu tumepotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…