Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Kuhusu mabeyo hakuwa na namna, moja ya nguzo kuu na msingi wa jeshi ni kulinda katiba ya nchi na kuitetea. (Hata kwenye kiapo chao ipo), jeshini ni sheria kabisa. Lakini mkuu wa majeshi hafanyi maamuzi mwenyewe ana COS waliomzunguka.

Just tu ili happen wakati mbaya kwake , hakuwa na jinsi

Katiba ina too much loopholes, na zikiwekwa makusudi ili kukipa power chama kitakachoshika madaraka over hivi vyombo

Is why ufisadi ,wizi, mikataba ya hovyo ikifanyika , jamaa wakijua wakubwa huko juu wanazima.
Ndio maana vinaonekana havifanyi kazi yake vipo vipo tu
Hawana team hilo ndio hitimisho langu.

Kazi kubwa ya vyombo vya usalama ni kufanya risk analysis,

Watu ambao waliofanya 360 risk analysis, wasingempa nchi Samia.

Na keshawatenda, liko wazi mama anatamaa na kaitumia katiba kuwanyoosha.

Somo kwao ni kujifunza, katiba aiwezi kuwa kikwazo in the future. Maana ‘bi-tozo’ kawatia adabu kabadiki DGIS mpaka kampata anaemfaa. Katimua maafisa wote wa Ikulu kaweka wake.

Bi-Tozo kavuruga usalama kuhakikisha anabaki post 2025 sio mzaha.

Sasa hilo liwe somo kwao, madaraka ya raisi yakimkuta mtu mwenye tamaa ni shida.
 
Hawana team hilo ndio hitimisho langu.

Kazi kubwa ya vyombo vya usalama ni kufanya risk analysis,

Watu ambao waliofanya 360 risk analysis, wasingempa nchi Samia.

Na keshawatenda, liko wazi mama anatamaa na kaitumia katiba kuwanyoosha.

Somo kwao ni kujifunza, katiba aiwezi kuwa kikwazo in the future. Maana ‘bi-tozo’ kawatia adabu kabadiki DGIS mpaka kampata anaemfaa. Katimua maafisa wote wa Ikulu kaweka wake.

Bi-Tozo kavuruga usalama kuhakikisha anabaki post 2025 sio mzaha.

Sasa hilo liwe somo kwao, madaraka ya raisi yakimkuta mtu mwenye tamaa ni shida.
Ili katiba isiwe kikwazo in the future lazima ibadikishwe iruhusu such flexible changes
Mabeyo played ubder rules zile zil3 za katiba else angekuwa ameasi kiapo, na nafasi yake. Hiyo ni serious allegation jeshini = uhaini, So ingekula kwake zaidi kuliki viongozi
I served there so najua decision making system nzima ya jesh ikoje mpaka at the top

HAkuna predictor wa kiongozi mzuri nchi hii. Rais wa sasa alianza vizuri then imekuwaje leo?

It seems like tatizo si watu, tatizo ni chama. Hata kama ulikuwa na good intention ukiingia huko unabadilika au unabadilishwa na mazingira
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza

“Hard times create strong men. Strong men create good times. Good times create weak men. And, weak men create hard times.”​

 
Ili katiba isiwe kikwazo in the future lazima ibadikishwe iruhusu such flexible changes
Mabeyo played ubder rules zile zil3 za katiba else angekuwa ameasi kiapo, na nafasi yake. Hiyo ni serious allegation jeshini = uhaini, So ingekula kwake zaidi kuliki viongozi
I served there so najua decision making system nzima ya jesh ikoje mpaka at the top

HAkuna predictor wa kiongozi mzuri nchi hii. Rais wa sasa alianza vizuri then imekuwaje leo?

It seems like tatizo si watu, tatizo ni chama. Hata kama ulikuwa na good intention ukiingia huko unabadilika au unabadilishwa na mazingira
Ndio maana tunawaambia, mkuu uwapelekee salamu na wenzako.

What do you think an analyst does?

Kazi ya analyst ni ku-anticipate what’s likely to happen given the factors and risks associated with the decision (preventive measures) na shughuli nyingine (sio za topić husika).

Had they anticipated risks za kumpa nchi Samia kwa uwezo wake labda risk ni 40%, uwezi laumu. Iła huyu mama alivyovuruga usalama ata kama hawakutemea wanaweza kubali raisi wa nchi abaki na madaraka hayo.

Kufanya kosa sio kosa, kurudia kosa ndio kosa.

Ingelikuwa mimi ningeshauri Samia, asipewe nchi; kwanini?, story ni ndefu.

Lakini somo hapo mamlaka ya raisi lazima yapunguzwe, kubali au kataa; huyu mama katumia madaraka yake kuvuruga usalama.

I know that for that certain (kwa ushauri watu wenye tamaa ndani ya CCM) akili hizo yeye mwenyewe hakuwa nazo.
 
Katiba ilielekeza apewe na alipewa

Mahaba yako peleka Kwa mumeo

Tukiendesha nchi kihisia badala ya principles tutakua Kama drc
Correct why 5 years and why the failed 😕
 
Ndio maana tunawaambia, mkuu uwapelekee salamu na wenzako.

What do you think an analyst does?

Kazi ya analyst ni ku-anticipate what’s likely to happen given the factors and risks associated with the decision (preventive measures) na shughuli nyingine (sio za topić husika).

Had they anticipated risks za kumpa nchi Samia kwa uwezo wake labda risk ni 40%, uwezi laumu. Iła huyu mama alivyovuruga usalama ata kama hawakutemea wanaweza kubali raisi wa nchi abaki na madaraka hayo.

Kufanya kosa sio kosa, kurudia kosa ndio kosa.

Ingelikuwa mimi ningeshauri Samia, asipewe nchi; kwanini?, story ni ndefu.

Lakini somo hapo mamlaka ya raisi lazima yapunguzwe, kubali au kataa; huyu mama katumia madaraka yake kuvuruga usalama.

I know that for that certain (kwa ushauri watu wenye tamaa ndani ya CCM) akili hizo yeye mwenyewe hakuwa nazo.
Sitaki kuamini amevuruga usalama while hakuwa kama JPm same alishindwa au alikuta ganda la ndizi?
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Mupo nauliza mupo.... Rwanda anatufanya kitu mbaya huko goma aibu aibu jaman...
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Kongo leo Tz wanafanywa manamba JW? Mlipeleka watoto wa mjomba Tz kweli Jw wanakimbia
 
Tatizo la nchi yetu kwa sasa Jeshi limegeuzwa kuwa ajira. Huwezi pata uzalendo kwa mtu mwenye nadhalia ya kuwa Mwanajeshi ni ajira, ukimpeleka mtu Vitani mtu mwenye mawazo ya ajira Jeshini mmejimaliza kama Taifa. Hapa tulipo fika lazima Viongozi wetu wabadilike ili waokoe Taifa.
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Achana nao, na hivi wana kinga watakuua buree kwa lujaribu kuwashauri
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Kumbe ni shabiki wa Lisu
Umenifurahisha mwanzo wa siku
 
Eti unashangaa wengi wa wanajeshi wanatamani kupelekwa sehemu zenye changamoto si kwa sababu ya Uzalendo kwa Taifa lake, bali akirudi atakuwa na fedha za kutamba baa. Kwa nini wasikimbie kwa staili hiyo?!
Tuna kazi kubwa sana kama Taifa kwa kweli
 
Back
Top Bottom