Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Hayo ya kwako. We jaribu tu kuchokonoa usalama wa nchi. Hutapata mda wa kusimulia. Tatizo mmekariri kila kitu ni CCM.
Yaani interest za kuhakikisha ccm inabakia madarakani kwa namna yoyote ile! ndiyo zimegeuka sasa na kuwa interest za Taifa!! Ok.
 
Mbona wanasema Huwa wanachikuliwa vijana wenye akili akili na watulivu kuanzia wakiwa Shule ya msingi. Labda wale mauvccem ni mainfoma na mikwara tu wenyewe Huwa wanawachora tu.

Wajuvi mtujuze kama yanatuhusu lkn
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Nimewahi kufanya kazi taasisi moja ya nje,inaongozwa na wazungu,USA,pale Kuna wabongo kibao wameajiliwa,jamaa wanapiga kazi balaa,Wana nidhamu ya kazi ya hari ya juu,hao maboss wakizungu wameweka taratibu za kufata,huoni boss akifokea mfsnyakazi,kila mtu anajua wajibu wake.
Huko serikalini,viongozi ni vilaza,idara zinaongozwa na watu wajinga mjinga mkubwa yupo Ikulu,anateua wajinga,hata akiteua mwenye akili(Kama Balozi Mulamula),hataweza kufanya kazi yake vzr,maana wajinga ni wengi sana,
Wenye akili na wao wanachojali ni ugari wao tu,
Samaki wanakufa mto mara,profesa wa jalalani,anasema samaki wamekufa kwa sbabu ya kula samadi mavi ya ngombe,Kingo za bwawa la tope kutoka mgodini,zinavunjika tope linazagaa kwenye makazi ya watu,li profesa la jalalani,linasema tope halina madhara!!sasa kwanini lilijengewa bwawa la kuhifadhiwa,kama halina madhara kwanini walijenga bwawa,wangeacha tu litiririke kwenda ziwani!!
 
Nimewahi kufanya kazi taasisi moja ya nje,inaongozwa na wazungu,USA,pale Kuna wabongo kibao wameajiliwa,jamaa wanapiga kazi balaa,Wana nidhamu ya kazi ya hari ya juu,hao maboss wakizungu wameweka taratibu za kufata,huoni boss akifokea mfsnyakazi,kila mtu anajua wajibu wake.
Huko serikalini,viongozi ni vilaza,idara zinaongozwa na watu wajinga mjinga mkubwa yupo Ikulu,anateua wajinga,hata akiteua mwenye akili(Kama Balozi Mulamula),hataweza kufanya kazi yake vzr,maana wajinga ni wengi sana,
Wenye akili na wao wanachojali ni ugari wao tu,
Samaki wanakufa mto mara,profesa wa jalalani,anasema samaki wamekufa kwa sbabu ya kula samadi mavi ya ngombe,Kingo za bwawa la tope kutoka mgodini,zinavunjika tope linazagaa kwenye makazi ya watu,li profesa la jalalani,linasema tope halina madhara!!sasa kwanini lilijengewa bwawa la kuhifadhiwa,kama halina madhara kwanini walijenga bwawa,wangeacha tu litiririke kwenda ziwani!!
Aiseeeh...
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Mkuu salute mingi sana
 
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Akili kama hii ni mzigo kwa Taifa.
 
Tanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya

How intelligent are intelligence officials!??

Kwa nchi makini duniani kama China, USA, Russia, Iran, N. Korea, n.k, wengi wao wanaanzi IQ > 120%.
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Mupo jamani
 
Tanzania is the lost cause.....
Trying to save it is akin to chasing the wind.....
 
Mupo jamani
Bandari zote ziuzwe nasi tukae kusubiri jambo litokee!!!!

Kiongozi akipwaya kutuongoza, na ikithibitika anatupeleka shimoni,

Apumzishwe aje mwingine,

2025 mbali sana.

Sa 100 must go now!!!!!
 
Bandari zote ziuzwe nasi tukae kusubiri jambo litokee!!!!

Kiongozi akipwaya kutuongoza, na ikithibitika anatupeleka shimoni,

Apumzishwe aje mwingine,

2025 mbali sana.

Sa 100 must go now!!!!!
Ooh she must go.... Oooh she must go where?

Subiri kwanza sisi machawa tumalize kujenga maghorofa yetu kwa pesa za ufisadi, kisha ndio muanze kusema "sa100 must go" Sasa hivi tunamlinda kwa Hali yoyote ile, wewe unafikiri tutampata lini raisi mwingine anayeturuhusu kuiba kama huyu? Tulia hivyo hivyo kama ulivyo vinginevyo tutakuteka.....

Mama mitano mingine...... 😋😋
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza

View: https://m.youtube.com/watch?v=t7NTqFWGjfA
 
Back
Top Bottom