Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Uzi mzuri ,ila ulipo taja jina la Lissu na Muhongo nikadharau kabisa kichwa chako
 
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Kama huelewi mleta uzi nini mantiki yake ni bora ukapita kimyakimya kuficha upumbavu wako,"chawa wahed"
 
Wawe wanagoma kuingiliwa. Wanakwama wapi hao watu?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Mkuu elewa mle wapo wanaojipendekeza Sana, so mmoja mmoja ambae anajua nini miiko ya KAZI yake akigundulika ndo anakua mbaya kwao badala ya kupewa moyo, so kukataa ni ngum,
Sema tu Tukipata katiba mpya amboyo inaweza kutoa mipaka yao ya KAZI , na SHERIA zao kubadilishwa WENDA tukawa na kitengo kizuri, na ndo hapo utaona vipaji vya watu
 
Mkuu elewa mle wapo wanaojipendekeza Sana, so mmoja mmoja ambae anajua nini miiko ya KAZI yake akigundulika ndo anakua mbaya kwao badala ya kupewa moyo, so kukataa ni ngum,
Sema tu Tukipata katiba mpya amboyo inaweza kutoa mipaka yao ya KAZI , na SHERIA zao kubadilishwa WENDA tukawa na kitengo kizuri, na ndo hapo utaona vipaji vya watu
Uko sahihi Katiba Mpya katiba Bora ndio Mwarobain itakayolinda na wale wachachwe ambao badp wana moyo
 
Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.
Kwa mara ya kwanza Tangu nikujue umeandika Uzi wenye Content ya maana.

Nimekuwa nikikuona ukimchukia Lissu tangu hapo awali. Hongera kwa kutambua Uwezo wake.

Lissu unaweza kumchukia lakini Uwezo wake uko pale pale
 
Mnapoteza muda kutaka kuokoa jahazi ambalo tayari limeshaanza kuzama. Tanzania ilishapoteza mwelekeo kitambo sana, haya tunayoyaishi leo ni matokeo tu. Ukweli ambao wengi hamtaki kuusikia ni kwamba, walioiharibu Tanzania vijana wa Mzee Nyerere aliowasomesha bure kwa kodi za wananchi.

Kubwa zaidi ni kwamba mipango na maamuzi makubwa ya nchi bado yanaratibiwa na kunafanywa na wazee ambao ndiyo walikuwa vijana wa Nyerere. Hao vijana wa sasa ni PROXIES TU, wamekuja miaka ya juzi tu, na isitoshe hawana maamuzi makubwa zaidi ya kufuata maelekezo.

Jambo lingine muhimu ambalo hampendi kulizungumza kwa uwazi ni kwamba Mzee Nyerere alianza vizuri na kumaliza vibaya. Matukio ya Mzee Nyerere na sera zake, kuanzia mwaka 1990-1999 ndivyo vinaligharimu taifa la Tanzania, na vitaendelea kuligharimu kwa vizazi vingi vijavyo.
 
Kazi ya TISS sio kuipangia nchi nani awe nani. Kufanya hivyo ni kukiuka mandate yake. Umetoa mfano wa watu ambao hakuna aliyewazuia kugombea uongozi. Lissu na Muhungo, wote, wameshajaribu kuwania kiti cha Rais hawakufanikiwa. Professor Shivji yeye hajawahi kugombea hata udiwani. Ulitaka TISS wafanye nini?

Hata huko Marekani, Bush Sr na Bush Jr hawakuwekwa na CIA. Juhudi zao ndizo zilizowawezesha kukipata kiti cha Rais wa Marekani. After all, in a democratic country, haiwezekani kumuandaa mtu fulani kushika kiti cha Rais au PM. Ndiyo maana hata outsiders kama Obama na Trump walifanikiwa kukipata kiti cha Rais wa Marekani.
Kwa hiyo kama TISS hawana uwezo kumuweka Rais madarakani pia hawana uwezo wa kumtoa Rais chizi madarakani au kwenye kinyang,anyiro.....!
Puwa puwa Kabisa....
 
Tuchape KAZI, ... tuachane ña njozi za TISS blah blah blah!
Yaani Bongo kila kijana anataka awe James Bond 😅😅😅
JW IMARA INATOSHA! ... UTAALAM HUJENGWA NA MAPAMBANO!
 
TumainiEl Ndugu yangu,
Huwezi kuinua viongozi bora kama huinui wafuasi bora! You cannot have effective leaders if you do not have effective followers.
 
Tukitawaliwa kwa AMRI moja Kutoka kambini Kwa 2 yrs itatosha kujenga backbone vizuri.

Tutaweza kufuta mikataba yote iloingiwa kihuni na viongozi madalali.

Tutaweza kuondoa Kwa kiasi kikubwa mapandikizi ktk idara na nafasi mbalimbali nyeti.

Ameeeen.
 
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
kubwa jinga
 
Back
Top Bottom