Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Hata jeshini nafikiri huu mtindo wa kuchukua watoto wa ndugu hata Kama Ni ,...........haufai,itafika kipindi uzalendo utaisha kuwe na fairness
 
Tukitawaliwa kwa AMRI moja Kutoka kambini Kwa 2 yrs itatosha kujenga backbone vizuri.

Tutaweza kufuta mikataba yote iloingiwa kihuni na viongozi madalali.

Tutaweza kuondoa Kwa kiasi kikubwa mapandikizi ktk idara na nafasi mbalimbali nyeti.

Ameeeen.
Hao ndio usiwatarajie kabisa
 
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
kajifunze kuandika kuna mengi huyajui unakaza fuvu jpm wa nini tuongelee yaliopo marehemu bado anawalamba matako mpka leo
 
V
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Extremely poor minded!
 
Wenye mamlaka ya uteuzi wa viongozi ni KAMATI YA CC ya CCM .majasusi hawana kazi hiyo.
 
Tusingekuwa na hili shetani linaloitwa CCM, huenda hii nchi mpaka sasa ingekuwa imepiga hatua kubwa sana ya maendeleo kama ilivyo kwa Singapore, South Korea, nk!

Duh...!. Kitendo cha malaika kumuita shetani, hakikubaliki, ila hata shetani, mwanzo alikuwa malaika!.
Katika kuelimishana tuu, hebu tusaidie Watanzania, tukiamua na kujiridhisha, kuwa kweli CCM ni shetani, jee kati ya waliopo, tumchague nani ambaye ni malaika ai replace CCM?.
P
 
Na hili linatugharimu sana Tz, wanateuliwa watu wzsio na tija kwa Taifa badala yake wanakuwa madarakani kulinda na kutetea maslahi ya wale waliopendekeza wao kuteuliwa na mifano hai mnaiona hata kwa baadhi ya mawaziri.
 
Tusingekuwa na hili shetani linaloitwa CCM, huenda hii nchi mpaka sasa ingekuwa imepiga hatua kubwa sana ya maendeleo kama ilivyo kwa Singapore, South Korea, nk!

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Ccm imepewa kipaumbele kuliko wananchi na Taifa lao.
Hiki chama mwanzoni kilitoka kwa Mungu ila sasa naona kiko na yule "aliye kinyume" na Mungu ndio maana tumefikia ktk ouvu mkubwa sana!
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Umeanza vizuri sana mkuu. Tena sana. Ila ulipofika kwa Lissu nimeacha kusoma sijui kwanini.

Usalama wa Taifa wa nchi wako vizuri sana. Kuna incident kadhaa niliwahi kuzi scrutinize na nikasema isingekua system kuwa imara tusingetoboa. Sikatai wapo waliopachikwa kiundugu ila wamo
Pia wenye uweledi na kuna ambao wanafanya kazi vizuri tu.

Mfano mzuri tu ambao watakaosoma huu uzi watajifunza kitu ni kwamba usije ukathubutu ku sabotage nchi hii ndo utajua hao usalama ni lelemama au ngangari. Yani fanya uhuni wote unaoweza, ruka ruka wee ila ukigusa interest za taifa trust me they are watching you.
 
Nimekaa na kutafakari na hii hali inavyo enda jambo moja limenijia nikuwakumbuka mashujaa wetu ktk tansinia ya usalama wa taifa.

Neno au wazo limenijia nikuwaambia macho yenu yafunguweni tena yafunguweni vizuri.
Mchwa sio mdudu mzuri. Anakula chini kisha anaibuka juu unapo muona amesha maliza kazi.

Ndoto yangu inasema mchwaa ako chini ya mihimili ya meza kitu kitawashituwa nakujuwa meza imeshaliwa siku pakiwekwa kitu kizito meza ita anguka.

Wazee andaeni watu wenye brain ktk maeneo nyeti ya taifa, msiangalie mtoto wa nani andaeni vichwa tunaenda kuangushiwa kitu kizito kama hatutojindaa jirani wameshaujuwa mchezo pia wazungu wameshajuwa mchezo na wanaucheza hapa kwenye ardhi yetu.

Narudia tena andaeni watu narudia tena andaeni watu. Narudia tena andaeni watu fanyeni alichokifanya hayati baba wa Taifa ndugu zangu Hayati alitafuta vichwa akavipeleka shule akavipa nafasi ndugu zangu huko duniani hawaangali mtoto wa nani wanatafuta brain unapo ona Bush Baba na mtoto wanakuwa Marais yaani sio mchezo huyu mzee alikuwa na brain na mtoto pia na wote wamenusurika kufa vitani. Angalia mataifa yenye uwezo wa ajabu kama Israel yani hawa jamaa hujafanya mission yeyote kwa ajili ya taifa lao huna nafasi yani hawa jamaa ni wanachaguwa elite unapo muona Mtu kama Benjamin Netanyauh sio kiumbe cha kawaida yani yule kwanza ni genius pia nikomando and last is among Israel Elite group... Ni ninsi gani tuna andaa watu kwa ajili ya kesho nikiza kinene God help us. Maana ni mwendo wa mtoto wa dada, shangaz, wakwe marafiki na makada. Ndugu zangu we will failed acheni ukada acheni ujomba na ubinamu tuchaguwe viongozi who are elite, achen habari ya gender chaguweni vichwa vilivyo simama. Taifa hili lenye zaid ya ++900k m sq ardhi tusipo kuwa makini tutaumiza vizazi vijavyo.

Ndugu zangu hii mchezo inataka kushika kasi baba anamuingiza mtoto na mtoto anakuwa brain ndogo anabebwa nataka kuwaambia italiacha taifa likicheka chooni mtu kama Lissu niwakumpa high position asaidie taifa hata kama ana ubaya gani maana kile kichwa sio chakawaida.

Nimetoa mfano. Taasisi za vyama ziwe na uhuru kuwafanya wenye uwezo na brain kupata urais jamani leo tumpate Rais kama Prof Muhongo hivi tutakuwa wapi as a nation.

Waziri mkuu awe Mzee Prof Issa Shivji italiwaje hili taifa waziri wa ulinzi tunamchukua jasusi ndani ya jeshi ndio waziri wa ulinzi sasa chezeni na gender wenzenu wanajenga nchi imara gender wameweka pembeni na wanajuwa siri nyuma ya gender. Mataifa makubwa na yenye chumi imara haya gender take from me. Na ukitaka proof angalia China, Marekani, Brazil, France, Singapore nk.

Tunafanya masihara ila tuwe makini. Nimemaliza
Umetumia akili nyingi sana kutoa ushauri mzuri sana kwa thinktank wa nchi ywtu.

Wait a monite.
Hao unaowaambia nap wengi wamejazana humo ni matokeo ya KAMLETE. Haufahamiki, baba yako hafahamiki utabaki kuwa mkulima na mfanyakazi.

Nchi inahitaji kuwa na core ambayo ni pure haitikisiki na haina bias wao lao ni moja tu yaani NCHI.

Chama kinatumia intellejensia ya nchi kama ya kwake hatutaweza kupiga hatua na huu utamaduni wa biasness
 
Mfano mzuri tu ambao watakaosoma huu uzi watajifunza kitu ni kwamba usije ukathubutu ku sabotage nchi hii ndo utajua hao usalama ni lelemama au ngangari. Yani fanya uhuni wote unaoweza, ruka ruka wee ila ukigusa interest za taifa trust me they are watching you.
Yaani interest za kuhakikisha ccm inabakia madarakani kwa namna yoyote ile! ndiyo zimegeuka sasa na kuwa interest za Taifa!! Ok. Maana kwangu mimi ninaamini hicho ndicho kitu pekee kinachopiganiwa na hao watu siku zote.
 
Back
Top Bottom