Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Majasusi wa Tanzania fungueni macho. Teueni watu wenye uwezo sio kwa kujuana

Kazi ya TISS sio kuipangia nchi nani awe nani. Kufanya hivyo ni kukiuka mandate yake. Umetoa mfano wa watu ambao hakuna aliyewazuia kugombea uongozi. Lissu na Muhungo, wote, wameshajaribu kuwania kiti cha Rais hawakufanikiwa. Professor Shivji yeye hajawahi kugombea hata udiwani. Ulitaka TISS wafanye nini?

Hata huko Marekani, Bush Sr na Bush Jr hawakuwekwa na CIA. Juhudi zao ndizo zilizowawezesha kukipata kiti cha Rais wa Marekani. After all, in a democratic country, haiwezekani kumuandaa mtu fulani kushika kiti cha Rais au PM. Ndiyo maana hata outsiders kama Obama na Trump walifanikiwa kukipata kiti cha Rais wa Marekani.
Tanzania lini imekuwa nchi ya kidemokrasia?
 
Tanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya
Wakenya hawakuiba general tire. Tuliwakarabisha wenyewe kama wawekezaji. Wakakiua ili kiwanda cha cha yana kiwake zaidi.
 
Umesema kwa hisia kali yenye UKWELI MCHUNGU tunafelishwa na watu wa Idara nyeti. Wanawekwa mifukoni na wanasiasa na kuingizwa kuwa wapigaji. Mmechaguliwa kuilinda na kutetea nchi kwa KIAPO. Sio genge la kikanda, kisiasa wala kuwa chini ya watawala.
Ikibidi muswaada upitishwe kuwa sheria wawe independent institute.
Idara nyeti ndio mnaoumiza wazazi wenu kumbukeni mlikotoka haiwezekani mambo ya hovyo yanaendelea eti hamna taarifa.
Haiwezekani vetting za ovyo za uongozi mnaziacha ziende. Hata kama ikiwezekana lolote lisabibisheni kwa manufaa ya nchi.

Andaeni watu katika taasisi zote wenye AKILI ZENYE AKILI .

Kumbukeni mmeapa KIAPO cha Uzalendo sio kutii wahalifu waliojipa madaraka hao watoeni kwa kuwaomba wajiuzulu au walazimishwa kwa shari.
Ukiona bibi au babu kijijini anateseka hayo ni matokeo ya utendeji wenu. Tunawategemea sana na tunawaamini

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Punguani

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Umesema kwa hisia kali yenye UKWELI MCHUNGU tunafelishwa na watu wa Idara nyeti. Wanawekwa mifukoni na wanasiasa na kuingizwa kuwa wapigaji. Mmechaguliwa kuilinda na kutetea nchi kwa KIAPO. Sio genge la kikanda, kisiasa wala kuwa chini ya watawala.
Ikibidi muswaada upitishwe kuwa sheria wawe independent institute.
Idara nyeti ndio mnaoumiza wazazi wenu kumbukeni mlikotoka haiwezekani mambo ya hovyo yanaendelea eti hamna taarifa.
Haiwezekani vetting za ovyo za uongozi mnaziacha ziende. Hata kama ikiwezekana lolote lisabibisheni kwa manufaa ya nchi.

Andaeni watu katika taasisi zote wenye AKILI ZENYE AKILI .

Kumbukeni mmeapa KIAPO cha Uzalendo sio kutii wahalifu waliojipa madaraka hao watoeni kwa kuwaomba wajiuzulu au walazimishwa kwa shari.
Ukiona bibi au babu kijijini anateseka hayo ni matokeo ya utendeji wenu. Tunawategemea sana na tunawaamini

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Yes wanawekwa mfukoni sababu hao wanasiasa ndio viongozi ambapo wao wana report.
Kama bosi wako ni mwana siasa? Why ashindwe kukuvuruga?
 
Tusingekuwa na hili shetani linaloitwa CCM, huenda hii nchi mpaka sasa ingekuwa imepiga hatua kubwa sana ya maendeleo kama ilivyo kwa Singapore, South Korea, nk!

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Ccm imepewa kipaumbele kuliko wananchi na Taifa lao.
Hata kwenye upinzani wengi ni Rubbish. Ukiona watu wananunulika hao ni Gabbage.
Ukiona upinzani wa kutaka madaraka ni OVYOOO.
Upinzani unaolamba asali na kuwa kwenye task force ni BOYA.
Ukiona chama kinatafuta masilahi yake kuliko nchi ni PUMBA TU.

Ndio maana ya hitaji la mabadiliko ya KUANDAA WATU

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwa hyo mlivyoona benclock8 ni elite ndio mkaamua apotee kwa kumezwa na chatu halafu sasa hv ndio unaleta habari za kujifanya unaijali nchi wakati elite benclock8 mlimpoteza????
 
Tangu nishuhudie rafiki yangu kada wa ccm kwa influence ya baba yake( kutafutiwa mchongo) anaingia usalama wa taifa nikaona hatuko na umakini
Asilimia 90 ya walio usalama wa taifa ni watu wasio weza hata hesabu za darasa la 7 mimi nawajua kama 100 hivi wengi ndiyo alikuwa na vyeti feki ...ila kutokana na mfumo wa utendaji kazi wa usalama wa taifa vyeti feki wa kule siyo rahisi kufukuzwa kazi hata kipindi cha jpm kwa sababu wanaweza kusema hiyo ni moja ya watu wanao itajika kwenye kazi za usalama
 
Points tupu dude isipokuwa ulipoanza kutaka majina hapo ndiyo umevuruga. Tuwe serious Kwa kweli tunapokwenda siyo, brains zipo katika hii nchi, lots mfumo wetu tu ndiyo main problem, the inner core don’t see(/ prentend to)the disaster ahead it is imminent.
 
Back
Top Bottom