Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mada si ya Mama Samia. Ni madam ya mustakabari wa muda mrefu wa Tanzania. Why do you take it personal?Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Si ndiyo hapo,wakati mambo haya yanafanyika tokea muda....Hii mada si ya Mama Samia. Ni madam ya mustakabari wa muda mrefu wa Tanzania. Why do you take it personal?
Umesema kweli aisee!Tanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya
Umeona eenhh?!!!Tanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya
Wapo tu wazuri sema wanasiasa na wanaaribu kuwaingilia, but wapoTanzania hamna majasusi, kuna makada tu wa chama ambao wamepewa majukumu makubwa na magumu kuliko uwezo wao ndio maana hata walishindwa kuzuia kiwanda cha General Tyers kisiibiwe na Wakenya
Haya mambo yanasikitisha sana, yaani kenya wanatubwekea kama mbwa koko kwenye eneo ambalo ni la kwetu. Si ajabu watataka waingize wanamgambo wawabandike jina la wamasai ili wapambane na serikali.Nimesoma uzi
Nikamuona stargomena tax na Mama samia!nikamuona kenya na Ngoro ngoro!
Nikaunganisha dot's
Maana niliyopata ni hii Hapa:-
Kenya inatuhujumu kimkakati Baada ya kujua Kuwa walioteuliwa hawana Brain wa ku deal nao kwenye inteligence!!!Ngoro ngoro inatumika na kenya kutuua kiinteligence!!
TUSUBIRI
Sijajua na paka je wa kule mlimani anatufanyaje kiinteligence!!?
Hatujui
"Na kwa tarifa yako, Uzi huu unawahusu akina nyinyi, watu wajingawajinga kUliposoma Uzi, ukaona ni sawa na mchango uliochangia.??
Lakini pia unaelewa mtu akisema kunahitajika watu Brain...?
Fanya hivi.....! Usipende kuchangia kila Uzi uliombele yako ili angalau kuficha ujinga wako.... Watu bhana, Shule huna...halafu unataka ulazimishe eti na wewe zimo...!
Na kwa tarifa yako, Uzi huu unawahusu akina nyinyi, watu wajingawajinga k
Mliowekwa kwenye nafasi nyeti! Jitu huna shule halafu kwa sabab babako ananafasi huko juu, basi unapachikwa tuu kwenye nafasi msizostahili, mtu unastahili kuwa mfagia ofsi, eti unapewa ukurugenzi au uwaziri wa Nishati!
Jinga kabisa!
Waambieni baba zenu ukweli! Na muwaulize kwa nini hawakuwasomesha!
Na upumbavu wa wananchi unachangia.. nnchi ina wapumbavu weng mnoTusingekuwa na hili shetani linaloitwa CCM, huenda hii nchi mpaka sasa ingekuwa imepiga hatua kubwa sana ya maendeleo kama ilivyo kwa Singapore, South Korea, nk!
Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Ccm imepewa kipaumbele kuliko wananchi na Taifa lao.
Yaani wewe kujenga nchi na kuiweka nchi sehemu sahihi ni ajira tu basi, mangapi ya hovyo yanaendelea sahivi kwa siri na waziwazi hadi ulaghaike kwa ajira?Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Kada moja lilisikika likibwekaRubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Maisha magumu hivi vitu bei juu tozo kila kona unasema uchumi unapanda kweli?Rubiss. Mama Samia ni zaidi ya rais. Subiri uone anavyoipaisha nchi kiuchumi. Sasa hivi tu hata mwaka hajamaliza ajira zimemwagwa kila Kona na kila sector. Jpm ajira zote alizimute kwa sababu alikuwa haelewi aanzie wapi aishie wapi akabaki anshikilia mabarabara tu ili angarau apate Cha kusema
Sasa jpm alifanya kitu gani zaidi ya kuua tu watuYaani wewe kujenga nchi na kuiweka nchi sehemu sahihi ni ajira tu basi, mangapi ya hovyo yanaendelea sahivi kwa siri na waziwazi hadi ulaghaike kwa ajira?
Fungua macho na tega masikio, gender ni upuuzi mkubwa sana kwa wenye akili.
Hata kama huenda ulikuwa bado mchanga unaweza hats ukasoma Biblia kama unaitumia na ukajua.Sasa jpm alifanya kitu gani zaidi ya kuua tu watu
Awu ya sita haiuwi watu kabisaHata kama huenda ulikuwa bado mchanga unaweza hats ukasoma Biblia kama unaitumia na ukajua.
Haupo utawala ambao haukuuwa, iwe kwa makusudi ama kwa lazima wafalme wengi waliua
Alikadhalika kuanzia Baba wa Taifa, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Jpm wote wametekeleza mauaji ama kwa makusudi ama kwa lazima. Kwa kifupi sana, hakuna utawala amabo haumwagi damu ..Ama ulitaka kusema hawamu ya sita hainuki damu?
Mama hauwi????? 😂😂😂😂