Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini m-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini m-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

Tukiweka ushabiki pembeni kuna kitu hakipo Sawa

Kwanza,kwann Baba abadilishe gari dakika za Mwisho

Pili,imekuaje FSB wamesolve hiyo case haraka hivyo,yaani ndani ya saa24 case ngumu kama hiyo iwe solved

Tatu,Ukraine itafaidika na nn iwapo kweli wameamua kumuua huyo bidada au walikua wanataka tu kutuma message kwamba na Sisi tunaweza kukufanyizia mpaka nchini mwako

Nne,Kwanini huyo agent aache kitambulisho chake hotelini?!

Hapa kuna kitu hakipo Sawa,ngoja tuupe muda nafasi kitajulikana tu
kweny hili umeonesha akili kubwa
 
Naombeni kujuzwa huyo binti aliyeuawa (mwandishi wa habari) alikuwa anapose threat gani kwa Ukraine mpaka wakaamua kufanya mission ya kibabe namna hiyo ya kumuua tena kwa bomu!?

Kuna jambo gani ambalo Ukraine walitaka kulizima kwa kumuua huyo bidada
Ndio utajua Kuna majasusi wajinga duniani.
Kama Nia ilikua ni kumuua bake,kafeli pakubwa.
Sasa wameshawapa Warusi taarifa kua, Ukraine Sasa wanafanya Ugaidi na wakisapotiwa na NATO.
Ugaidi siku zote hua ni vita vya watu dhaifu dhidi ya watu wenye nguvu.
Ni mtindo dhaifu sana wa kuvizia.
NATO USA siku zote wamekua wakilaaninigaidi Sasa Leo ndio washirika wa Ugaidi.
Kuanzia Sasa Urusi wataamka na Ukraine watakiona Cha moto.
Kwa kujibu swali lako huyo Binti hakua kitisho chochote kwa Ukraine na hakua na umuhimu kwa urusi kwa kuuliwa kwake kwa upande wa Urusi
 
Hivi Osama alivyowapiga tukio US,iliwachukua muda gani kumpata?Vifo zaidi ya 2000 Kwa siku Moja!
Mambo mengine acheni porojo!
Huyo Binti aliyeuwawa ni mwandishi na anaishi maisha ya kawaida kabisa,hana ulinzi!Kwanza ni aibu kumuua Kwa bomu,ni kama kuua sisimizi Kwa nyundo!
Urusi anaua watu wenye ulinz huko Ukraine ?
 
Hapo Ukraine kajipalia Kaa la moto,huko Kyiv watu washaanza kuondoka!Kifuatacho kitawafurahisha Kyiv!
Mkuu Kyiv watu wanasherekea uhuru wa Nchi yao wakipiga picha kwenye vifaru vya Russia vilivyosulubiwa ni Stinger za US via Ukrain na Mrusi akatoka nduki kurudi zake Donbas., mpaka leo Mrusi anaiona kahawa Kyiv
 
Maana yake mnajua kinaenda kuuwawa Kwa kufanya kazi kizembe mpaka kujulikana!
nchi kama Urusi cctv kila sehem so muhimu ni mission kukamilika na insh ya kushikwa ni ngumu sana tofaut na akili zenu zinavyowaza has kwa kipindi hiki cha mvutano wa wakubwa , kila nchi ya ulaya imejiimalisha sana ki intellinjensia
 
Ni vigumu kukubali kuwa Natalya ndiye hitman kwan aliingia Russia July akiwa na mtoto wa miaka 12. Ni kikosi gan kitampeleka Hitman nje ya nchi akiwa na mtoto?
Kama nia ni kumuua baba mtu ilikuwaje apange kwenye ghorofa anakoishi mtoto?
Ilikuwaje kwa haraka sana urussi ikajua each and everything about Natalya....

Hiyo ni internal job yaan Natalya ametumika na Warusi to silance warusi wenye misimamo mikali wanaokosoa Russia kushindwa kuiteka Ukraine yote mpaka leo.

Ultra nationalist Russians wanalilaumu jeshi kutokuonesha viwango walivyotarajia now to silance them wamemla kichwa huyu binti ili kuwafanya wawe na uchaguzi wa maneno wakati wakikosoa utendaji wa jeshi.
Natalya anafanya kazi kwa niaba ya Russia
Da umechambua kama makada wa chama tawala walivyokiabwakichambua juu ya shambulio la mwanasiasa machachari katika nchi ya Mwalimu.
FSB kujua haraka,una mawazo ya kizamani sana.
Kuwa ni Warusi wenyewe ndio wamemuua?
Aisee chama kimetuachia urithi mbaya kabisa hapa duniani.
Yaani kwa taarifa Yako Fsb wameshajua na nyumba alikofichwa hivi Sasa.
Kuna drone itafanya yake. Subiri TU.onyo limeshatolewa.
 
Mashambuliz yote haya yanafanywa kwa lengo la kuwatia jazba wafanyamaamuz wa Kremlin mwishowe watoke nje ya lengo.

Na ndio maana shambuliz la mwanzo kufanywa crimea Zelenscky na timu yake walilazimika kujificha kwenye mahandak wakihofia jamaa kufanya maamuz ya hasira lkn jamaa wapo bardiii hawapanik wala nin wanaendelea kuchukua miji tu mdogomdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Conspiracy zitaendelea Tu ndani ya Russia kama ilivyo Kwa marekani baada ya hii vita hawalala Kwa Amani kilasiku ugaidi utafanywa kila Kona ya Russia..
Alafu ugaidi unaofanyika ndani ya Russia unafadhaliwa na nchi zote za magharibi tofauti na marekani anayepambana na waarabu kwasababu mwarabu ni Rahisi kudili Naye, kumbuka ugaidi huu unaofanyika Russia upo chini ya mossad, CIA,M16 na mashirika yote ya kijasusi ya magharibi
Unajua Ugaidi ni mbinu za watu dhaifu dhidi ya wenye nguvu?

Unajua USA na west wanapinga Ugaidi Dunia nzima?

Unajua wamezilazimisha nchi nyingi duniani kuweka kwenye katiba zao sheria za kuzuia Ugaidi?,
na ni sheria hatari sana?

Unajua waasi wa Chechen walikua wanafadhiriwa na west hasa USA kufanya Ugaidi nchini Urusi?
Unajua Nini kiliwapata na wako wapi hivi Sasa Aslan mashkadov na Bashir yanayev?
Vipi Urusi nae aliamua kuwapa msaada magaidi wengine dhidi ya west?
 
nchi kama Urusi cctv kila sehem so muhimu ni mission kukamilika na insh ya kushikwa ni ngumu sana tofaut na akili zenu zinavyowaza has kwa kipindi hiki cha mvutano wa wakubwa , kila nchi ya ulaya imejiimalisha sana ki intellinjensia
Mission kukamilika wakati unaambiwa target hakuwa huyo Binti?Kwanza huyo Binti ni mwanahabari tu aliyekuwa anaishi maisha ya kawaida sana!
 
Mkuu Kyiv watu wanasherekea uhuru wa Nchi yao wakipiga picha kwenye vifaru vya Russia vilivyosulubiwa ni Stinger za US via Ukrain na Mrusi akatoka nduki kurudi zake Donbas., mpaka leo Mrusi anaiona kahawa Kyiv
Unadhani Urusi anashindwa kurusha missiles Kyiv isikalike?
 
Hata kama Yuko upande wa NATO ni mhalifu kama wahalifu wengine,nchi atakayopatikana itaombwa imtoe ashitakiwe.
Kama nchi ikikataa maana yake nchi hiyo inaunga mkono vitendo vya kigaidi.
Na Ugaidi ni dhambi kubwa sana kwa nchi za NATO.
Sasa hapo ndiopo mzani utakapokataa kubalance.

Nakumbuka Skipal,yule Mrusi na Binti yake waliopewa sumu huko London.
Lkn bahati hawakufa.
Wacha tuone.
kuvamia Ukraine sio uhalifu ?
 
Nyie Pro NATO mnaosema ata vita ikiisha ugaidi utaendelea ndani ya ardhi ya russia kwa ukraine kusaidiwa na nchi za west narudia tena hakuna nchi ya west inatakayokubali kufanikisha ilo jambo ndani ya Russia kwa sheria za kimataifa linapokuja suhala la ugaidi diplomacy inawekwa pembeni sasa ni nani apo ulaya mwenye uwezo wa kuthubutu kushiriki jambo kama ilo kwa nchi kubwa kama Russia?
 
Ndugu yangu ,usitake kupoteza muda wako Bure,
FSB wameshamaliza kazi,wameshapata details zake zote.wameshajua Kila kitu kinachomhusu.
Usifikiri FSB ni Akina Siro kuwa wanasubiri mpaka wampate dereva wa Lisu ndio wamjue aliempiga risasi.
Usijaribu kupotosha,Wala FSB sio wapotoshaji
Kama wale wa kusema CDM ndio waliompiga mtu wao na vyuma.
Hapa kwa FSB upele umepata mkunaji.
kwan ccm haijawai kuja na taarifa za tukio , huwa wanakuwa hawajamaliza kaz ? angalia mvt za huyo dada ndo ujue anaelewa anachofanya sio mpuuz km ww
 
Me namuonea huruma mtoto wake huyo mama kama hatouliwa na waliomtuma ataishi kwa tabu sana mpaka warusi mdake,,,!
akil zako fup , yaan kwa kipind hiki wamtelekez ashikwe atoe plan yote ilikuwaj ili Urusi aijue mianya ya maadui zake ? Huyo dada anajua ving vya ndan ya Urus has waliomsaidia kufanya tukio maana huez ingia nchi ya watu ukawa na connection za usajili wa magar kwa haraka hivyo wapo watu wamemsaidia bila kusahau hilo bomu huenda kalitoa Ndan ya Urusi maana sizan kama ametembea umbali wote huo ndan ya urusi bila barrier kumkagua so huyo dada haez achwa mtaan kama akili zako zinavyokutuma
 
Back
Top Bottom