Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kama wamemfahamu muhusika ni vyema ila wangeweza kuzuuia tukio kama wangekua na ' Intel..' za kutosha.
Wanao sana ila kuna watu muhimu wengi sana na wanao Chungwa ni wengi mno ila Labda huyo hakuwa katika list
Sio suala la intelijensia kwani wengine hawachungwi bali wajichunge wao
Kama target imeandaliwa ni vigumu kujua Labda Siri ivuje tu