Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Hahahaha acha wajipe Moyo,huyo usikute ss hv yeye na familia yake washahamishiwa USA na watapata Ulinzi wa CIA na FBI kwa maisha Yao yote. Sio rahisi kama unavyodhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha acha wajipe Moyo,huyo usikute ss hv yeye na familia yake washahamishiwa USA na watapata Ulinzi wa CIA na FBI kwa maisha Yao yote. Sio rahisi kama unavyodhani
Halafu cha ajabu kawapiga kwao,yaani ndani ya Urusi. Israel hua anatibua mipango ya majasusi wa Iran dhidi ya raia wa Israel Nje ya mipaka ya Israel kama vile Uturuki lakini Urusi inashindwa mpk inapigwa tukio nchini mwake tena na taasisi dhaifu ya ujasusi kama ya Ukraine!!!!!Sasa hapa si unaaibisha mabwana zako wewe Sikirimimimasikini .
Yani mwanamama kaja kapiga na kaondoka wao wamelala usingizi? Siku nyingine atawatia vidole kabisa kuweni makini
Mpaka Sasa Russia haijatarget decision makers huko Kyiv,yajayo yanafurahisha!Hahahaha Russia watafanya kipi cha ajabu hapo Kyiv ambacho hakijafanyika mpk ss?! Washapiga mabomu mpk kwenye maternity hospitals wajawazito na watoto wakafa ss wao huyo mmoja tu roho zinawauma. Kumbe mkuki kwa nguruwe Ila Kwa binadamu mchungu....shikamoo wahenga
Ndugu hakuna cha bure dunia hii,yaa hilo tukio tu ndio apewe yoote hayo?Hahahaha acha wajipe Moyo,huyo usikute ss hv yeye na familia yake washahamishiwa USA na watapata Ulinzi wa CIA na FBI kwa maisha Yao yote. Sio rahisi kama unavyodhani
Unaishi Dunia gani?Huko Israel Miezi michache tu kulikuwa na wimbi la kushambuliwa waisrael Kwa risasi,visu NK!Halafu cha ajabu kawapiga kwao,yaani ndani ya Urusi. Israel hua anatibua mipango ya majasusi wa Iran dhidi ya raia wa Israel Nje ya mipaka ya Israel kama vile Uturuki lakini Urusi inashindwa mpk inapigwa tukio nchini mwake tena na taasisi dhaifu ya ujasusi kama ya Ukraine!!!!!
Saaana yaaniKama hawajamkamata? Basi alikiwa smart.
Report: Mossad, CIA, MI6 Smuggled Iranian Nuclear Scientist to the UKNdugu hakuna cha bure dunia hii,yaa hilo tukio tu ndio apewe yoote hayo?
Hii ni kama honi imepigwa.Bomu lilipaswa limuondoe Putin moja kwa moja,
Nextime mlengwa atafikiwa tu.
Hakuna mtoto alouliwa wala mja mwepesi yeyoteHahahaha Russia watafanya kipi cha ajabu hapo Kyiv ambacho hakijafanyika mpk ss?! Washapiga mabomu mpk kwenye maternity hospitals wajawazito na watoto wakafa ss wao huyo mmoja tu roho zinawauma. Kumbe mkuki kwa nguruwe Ila Kwa binadamu mchungu....shikamoo wahenga
Waisrael matukio ya kuchomwa visu na wapalestina sio jana wala Leo na hayataisha Leo wala kesho.Unaishi Dunia gani?Huko Israel Miezi michache tu kulikuwa na wimbi la kushambuliwa waisrael Kwa risasi,visu NK!
Ujasusi wao ulikuwa wapi mpaka wapalestina wanaingia na silaha na kuwadhuru?
Na Sisi tunasema huko Russia hakuna aliyeuliwa ilikua ni Special operation ya kuunguza tu gariHakuna mtoto alouliwa wala mja mwepesi yeyote
Hizo propaganda za bei rahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama angekuwa kyiv, mrusi unafkiri angefanyaje? Russia ni weak, alikuwa overrated sana.Hahahaha acha wajipe Moyo,huyo usikute ss hv yeye na familia yake washahamishiwa USA na watapata Ulinzi wa CIA na FBI kwa maisha Yao yote. Sio rahisi kama unavyodhani
Hahahhaha mwanamama anapiga tukio kama hili na kusepa.Sasa hapa si unaaibisha mabwana zako wewe Sikirimimimasikini .
Yani mwanamama kaja kapiga na kaondoka wao wamelala usingizi? Siku nyingine atawatia vidole kabisa kuweni makini
Na waisrael wengi hasa wanajeshi hua wanachomwa visu kule Gaza sio Jerusalem wala Tel avivUnaishi Dunia gani?Huko Israel Miezi michache tu kulikuwa na wimbi la kushambuliwa waisrael Kwa risasi,visu NK!
Ujasusi wao ulikuwa wapi mpaka wapalestina wanaingia na silaha na kuwadhuru?
alaf saiz urusi ikizitungua Tanzania tunaweza kukinukisha mpaka warusi wakaomba pooo.Shirika la kijasusi la Urusi (FSB) limembaini raia wa Ukraine aliyetega bomu kwenye gari Urusi na kumuua binti mwanadishi wa habari aitwaye Darya Dugina.
Chombo hicho cha upelelezi cha Urusi kimechapisha video iliyokusanya matukio kadhaa ikimuonesha raia wa Ukraine wa kike kwa jina la Natalya Vovk akiingia Urusi na mtoto wake wa kike (teenager), akiingia pia kwenye jengo alilokuwa akiishi Darya (mwandishi wa habari aliyeuawa), kisha ikimuonesha akiondoa kwa haraka mno mara baada ya bomu kulipuka na kumuua Darya.
Binti huyo muuaji aliingia Urusi July 23 akiwa na gari lenye number plate ya Jamuhuri ya Watu wa Donetsk (ili kukwepa kuchunguzwa zaidi), alipokuwa Urusi akabadili na number plate ya Kazakhstan, nchi rafiki ya Urusi. Baada ya shambulio, siku ya jumapili (19 August) akaondoka Urusi kuelekea Estonia akitumia number plate ya Ukraine. Binti huyo ni askari ktk kikosi cha neo-Nazi Azov Regiment.
Ikumbukwe kuwa Ukraine iliwahi kujitenga haraka haraka na shambulio hilo baada ya kutokea.
====
Nimeamini FSB (zamani KGB) ilikua enzi zile za cold war ss hv hamna kituHata kama angekuwa kyiv, mrusi unafkiri angefanyaje? Russia ni weak, alikuwa overrated sana.
Alisikika 'mlevi mmoja' akiropoka baada ya kuvimbiwa pombe ya 'wanzuki'alaf saiz urusi ikizitungua Tanzania tunaweza kukinukisha mpaka warusi wakaomba pooo.
tumedanganywa sana eti urusi jeshi lao hatar kumbe hata jwtz inaweza wagonga vizur
Inasemekana walilenga kumuua baba yake huyo binti ambaye ni rafiki na mshauri wa putini walitumia gari moja na binti yake kwenda kwenye festival huko Moscow. Inasemekana wakati wa kuondoka mzee alitumia usafiri mwingine then binti ndio akakutana nachoBomu lilipaswa limuondoe Putin moja kwa moja,
Nextime mlengwa atafikiwa tu.
Jasusi hata akikamatwa inafanywa Siri,anaminywa kende mpaka aseme kila kitu na mwishowe anakuwa neutralized!Huko Iran,wameshakamatwa majasusi wengi tu,Kuna wamarekani na waingereza wameshakamatwa Iran Kwa ujasusi!Sema Huwa wanalipa price kubwa,Tena hao ni wale ambao wamejisikia kutangaza!Vipi wale ambao wanaminywa kimya kimya?Waisrael matukio ya kuchomwa visu na wapalestina sio jana wala Leo na hayataisha Leo wala kesho.
Je kuna tukio ambalo majasusi wa nchi nyingine adui (mf.Iran) iliwahi fanya Israel kutumia majasusi na wakafanikiwa kutoka salama?!
Israel kashafanya operation kibao ndani ya Iran,je kuna siku jasusi wake alishawahi dakwa na Iran?!
Hata huko Jerusalem na Tell Aviv,wapalestina walishaingia na kuua waisrael!Na waisrael wengi hasa wanajeshi hua wanachomwa visu kule Gaza sio Jerusalem wala Tel aviv