Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

[QUOTE="isukare, post: 19048323, member: 390958"[/QUOTE]

I put you as a grist to the mill.
 
Asante mkuu uchungu wakuzaliwa kwenye hii nchi tumebakia nao watanzania wachache sana nakupongeza pia kwa ujasiri wa kuleta hii mada hapa jukwaani,tuukatae unafiki wa wacache wanao taka kuhodhi hii nchi kwa kutugawa katika kila nyanja,msimamo wa baba wataifa na mapungufu yake yote tunge ukubali na kuacha kumuenzi kinafiki tungekuwa mbali sana kimaendeleo kama wenzetu wa uchina lakini tumekataa ukweli na kufata uongo tunaoupenda!! Tuko pamoja mkuu
 
Mkuu upo vizuri sana. Big up [emoji1]
 
Jamani acheni hizi porojo kwa kweli; mtu akitaka kufanya ujasuri maeneo kama hayo haiwezekani kufanya hivi. Kama ni kweli ni majasusi wanahitaji kufukuzwa!
 
Niulize tu, tukijua wanatengeneza tunafanyaje? Au na sisi tutatengeneza au kuwashitaki??
Nimejiuliza sana hili swali, but till now nahang tuu bila jibu, emb kina nanihiii mtusaidie hapa
 
Usisumbuke nao Mkuu unaweza ukadhani hao ni Watu tofauti tofauti wanatiririka na hicho Kifaransa chao ila nikuhakikishie tu kuwa huyo ni Mtu mmoja. JF ni zaidi ya uijuavyo Mkuu!
Au ndo wameanza course wako wanapractise ,waache wanafunzi hawa!!!
 
Sio rahisi hivyo makomambo kukamatwa kijinga ivo especially watanzania,hizo ni propaganda za Malawi,kanchi kenyewe kama Dar es salaam Kwa ukubwa
Israel inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asia
 
Israel inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asia

Mkuu hao ndiyo Wasomi wa Tanzania ambao kuna Professor mmoja aliwahi kusema usomi wao wala hauna tija na sana sana tu unaongeza tu idadi ya Wapumbavu duniani. Umemjibu vizuri mno na kumdhalilisha kwa kuonyesha ni jinsi gani asivyojua kufikiri. Nani aliyewaambieni kuwa ukubwa wa nchi ndiyo uhalali wake kushinda vita? Rwanda kwa mfano ni nchi ndogo sana lakini ilitupelekesha hadi ikabidi sasa Mkemia wa Kale alipoingia tu Magogoni aombe suluhu nayo Kidiplomasia ndiyo itashindwa Malawi kutuchapa? Rudini tena darasani mkajifunze upya mbinu za Medani za Kivita.

Mkuu nimekukubali sana na sina shaka na IQ yako kwani inaonyesha kuwa imetukuka kisawasawa. Kula tena like yangu tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…