Akili yako imeoza! Ungekuwa karibu yangu ningecheza na mavi yako jinga sana wewWachinjwe tu...tabia za kispy hatupend sisi...tena wanabahat maana wangekamatwa na boko haram wangechnjwa kabsaa....
Unaweza nisaidia tafsili ya hayo maneno kwa kiswahili(yenye rangu nyekundu)Sema Wewe Baba akisema GENTAMYCINE anaonekana ana Chuki na Mfitinishi. Mtazuga sana kwa kusema kuwa siyo Majasusi lakini na nyie tambueni kuwa hata hao Malawi na wao tokea ila Diplomatic Row ya miaka mitatu minne iliyopita na Wao pia walijiimarisha sana Kiulinzi na Kiusalama hivyo kukataa kuwa hao waliokamatwa siyo Majasusi ni Ujinga kama siyo Upumbavu uliopitiliza.
Moja ya Kanuni kubwa ya Kijasusi ambayo niliisikia tu katika Vijiwe vya Kahawa inasema kuwa NEVER UNDERESTIMATE YOUR OPPONENT EVEN IF YOU'RE THE STRONGEST AND GIGANTIC. Sijui kwa hawa wa Kwetu Tanzania hii waliisahau au labda haiwahusu!
Oui Se vraisc'est un concept difficile à définirent dont la portée exacte suscite maintes.
MhAcha kulinganisha majesusi na hawa mgambo wa jj....
c'est un concept difficile à définirent dont la portée exacte suscite maintes.
hahahaha hamna mhuni humu mkuuKweli kabisa JF imepoteza credibility. Imegeuka kijiwe cha wahuni
hata mimi kweli najiuliza hao hamajasusi kweli inamaana hata lugha za wamalawi hawazifahamu maana inakubidi uwe kama wao kiuhalisia na kiasiliNinachojiuliza wamekamatwaje wote pamoja,
Wanatembea kwa pamoja kama nyumbu sasa huo ndio ujasusi au utalii ....eeeeeh ..
mkuu unatuchanganya na huyo mwenzako bhana.....[emoji45] [emoji45]c'est un concept difficile à définirent dont la portée exacte suscite maintes.
mkuu unatuchanganya na huyo mwenzako bhana.....[emoji45] [emoji45]
Usimdharau adui yako hata kama wewe unajijua una nguvu za ziada kuliko adui yakoUnaweza nisaidia tafsili ya hayo maneno kwa kiswahili(yenye rangu nyekundu)
Maana umeniacha na ninataman sana kuelewa
Mawazo yameheshimiwa Mkuu, ila kuna kitu lazima ujifunze mambo Haya kiundani sana, weakness yako kubwa ni Ku JUDGE haraka bila kuwa na ushahidi wa kina.Nakumbuka kuna uzi mmoja huko nyuma tena mwaka huu huu niliandika kuhusu mapungufu makubwa ya Idara husika hasa kwa Watendaji wake wa sasa na jinsi wanavyokuwa recruited ila nilichoambulia ni lawama, kashfa na matusi japo baadhi nashukuru Mungu walinielewa na bahati nzuri leo kile kile nilichojaribu kukizungumzia na madhaifu yake kimejidhihiri huko nchini Malawi na sasa tunaanza kutafutana.
Muwe mnaheshimu mawazo ya Watu humu kwani kuna wengine japo hawapo humo Kwenu Kikazi lakini Umossad wao ulianzia tokea wakiwa tumboni bado hawajazaliwa na wanaweza wakawa wana ujuzi wa haya mambo pengine hata kushinda mlioajiriwa humo.
Mkuu naungana kabisa na Wewe tena kwa 100% kuwa kama hizo Njemba za Kiudukuzi zingekuwa imara wala wasingekamatwa hivyo na jambo la aibu sana. Bado nasisitiza kuwa mabadiliko makubwa sana yanahitajika kufanyika katika hiyo idara hasa kuanzia ngazi ya kugundua Kipaji, Kumfunza na kumfanyia Uchunguzi wa kina ( Vetting ) na kuimarisha kule Vyuoni mwao wanakopikwa.