Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Malawi wanaitamani Tanzania wanapewa kichwa sana sijui na nani! Chokochoko tangu mdaaa
 
ndio maana nilitoa angalizo...jamani tusubili tutaambiwa tuu....walau lenye tija na mashiko.....
ufafanuzi huu una tija....binafsi nimekuelewa mkuu...[emoji120] [emoji120] [emoji120] ...senkyuu...
 
Ujinga si tusi,hata Tanzania kama taifa, miong onivmwa maadui zetu wakuu watatu,ujinga ilikuwa ni mmoja wapo
 

Mkuu, umetoa angalizo la maana sana.

Ndiyo maana kuna kuapa.

Kula tano.
 
Hii mambo ya UJASUSI...sisi sote hatujui kwa hiyo ni vyema tunyamaze tuwaachie wenyewe.TUSIDANGANYANE.........
 
Yani wamekamatwa kama kuku,hivi mtaendaje kufanya upelelezi na makamera makubwa?
Kama hao ndio majasusi wetu,basi tunayo kazi kubwa sana.
 
Niulize tu, tukijua wanatengeneza tunafanyaje? Au na sisi tutatengeneza au kuwashitaki??
 
Katika saikolojia ukiona mtu anaandika lugha ya kigeni kwenye jambo la msingi labda utakuwa unatuona malodilofa au unatu snowden
 
Naambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!
Wale wa tarehe 9 Desemba sio majasusi mkuu, ni makomando
 
Naambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!
Wale hawakuwa spies! Wacha ujinga wako wewe [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Majasusi wenyewe ni wanaccm tena ukiwaunajua ukimbelembele,ujasusi ulikuwa kwanyerere ukafia kwa Mzee Mwinyi maana Mkapa aliuza tiss kupitia NBC,Kikwete akawa anatafuta wapambe na watoto wa vigogo wenzie anawapa kazi awamu yanne ilikuwa sifa kujifanya usalama wa taifa yaani mtu anaona proudoff wakati yuko kitengo nyeti,huyu magufuli yeye hakuwa na watu wakumsaidia kazi maana hata nia ya uraisi aliibuka nayo kama katoka kwenye njozi!!reshufle kuanzia police force,TPDF mpaka Tiss inahitajika kuna mamruki na malegelege wengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…