Hizi ndege kila nchi kubwa inazo kwa uundaji tofauti na ni kwa ajili khasa ya "oversight".
Mara nyingi interception inatokea endapo wanavuka IAS
Hivyo inaweza kupiga hizo picha nje ya Tanzania Air Space kama bahari ya hindi kwa ksingizio cha kulinda balozi zake na zile base pale Nairobi na Djibouti.
Ila kwa ajili ya soveirnighy yetu hawawezi kuvuka anga la kimataifa na kuingia anga la Tanzania kwenda Dodoma.
Iyo itakuwa kama kuna vita.
Ndo maana watatumia majasusi "on the gound" kuleta vurugu.
Majasusi hao wakigundulika huwa nchi zao zinaombwa waondolewe.
Ndio maana nchi kama Uingereza majasusi sasa hivi hutakiwa kujiandikisha pamoja na kutoa financial details zao kuzuia yalotokea kule Salisbury.
Kwa kukukumbusha tu haya masuala ya nchi kujilinda niliyaongelea hapa:
Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari