Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

1. Congo Tower
2......
3.........

Tuendelee kuyataja hapa chini
Gentleman,
nyufa ni jambo la kawaida kabisa nadhani katika maeneo mengi,

infact ni zakuziba na jengo likiendelea kutumika kwa usalama wa uhakika.

Abdul Nondo aliwahi kuripoti kuhusu nyufa za majengo fulani miaka ya nyuma.

Nyufa zile zilizibwa,
Na mjlengo yale yako salama na imara kweli kweli yanaendelea kutumika 🐒
 
Back
Top Bottom