Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Mkuu acha kuvuruga biashara za watu1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Ni kweli...Mkuu acha kuvuruga biashara za watu
Utashangaa tume itasema ni expansion jointNi kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Jana nlikuwa napita mule ndani gafla nikamkumbuka yule nabii aliesema Lina shida nilitoka ndukiNi kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Acha ujinga unataka watu wafe kisa una biashara ??? Nchi ina watu wapuuzi sana kabisaMkuu acha kuvuruga biashara za watu
Sotojo litakuwa lilikuwa mchanga mwingi cement kidg maji kwa mbaaaaliiSijui imekuaje Congo Tower imekua na cracks mapema hivi maana hata sio jengo la muda mrefu
Hii Congo tower I me take a mpaka na manabii wa mchongo1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Gentleman,1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Lile limeanza kwenda na watu tangu wakati linajengwa, wakati linajengwa Kuna fundi alianguka pale akiwa juu jeans alovaaa ilikua imembana ila mpaka anatua chini limekua bwangaSotojo litakuwa lilikuwa mchanga mwingi cement kidg maji kwa mbaaaalii
Hadi wafe?Mkuu acha kuvuruga biashara za watu
Isije ikawa Expansion Joint (Wenye D mbili wamenielewa)1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Maisha ya watu ni muhimu zaidi kuliko biashara za watu.Mkuu acha kuvuruga biashara za watu
Ila sidhani kama kuna mmiliki anaweza kucheza kamari ya hela yake kwa kujenga jengo chini ya kiwangoLile limeanza kwenda na watu tangu wakati linajengwa, wakati linajengwa Kuna fundi alianguka pale akiwa juu jeans alovaaa ilikua imembana ila mpaka anatua chini limekua bwanga