Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Sasa yule naye ametabiri nini?Kuna unabii umetoka kuhusu hilo jengo la Congo Tower. Ingawa mimi binafsi silifahamu lakini nimeona kuna nabii mmoja amesema nalo lipo njiani kubusu ardhi
Unatabirije kitu kinachoonekana kwa macho..huo Ufa wa Congo Tower ni wa muda...Watu nao wameona watembelee upepo