Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Umefata utabiri wa yule mtumishi1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefata utabiri wa yule mtumishi1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Nondo za 12mm famasihara nini 😀😀Sijui imekuaje Congo Tower imekua na cracks mapema hivi maana hata sio jengo la muda mrefu
Wewe raraa reree unalike na robot au kila comment section zote upoChina plaza
Natumia remote 😄Wewe raraa reree unalike na robot au kila comment section zote upo
Hamna mmiliki mwenye nia hiyo lakini Ubabaishaji unaweza kutokeaIla sidhani kama kuna mmiliki anaweza kucheza kamari ya hela yake kwa kujenga jengo chini ya kiwango
Nadhani sarakasi nyingi zinafanywa na mafundi ukichanganya kidg na za boss basi ni balaaaHamna mmiliki mwenye nia hiyo lakini Ubabaishaji unaweza kutokea
Siku ya kufa nyani ikifika nondo haitakua na msaadaNondo za 12mm famasihara nini 😀😀
Wewe sio wa kwanza kuuliza 😀😀Wewe raraa reree unalike na robot au kila comment section zote upo
Madhara yangepungua kama wangefata standardsSiku ya kufa nyani ikifika nondo haitakua na msaada
Jengo la Makolo FC liko salama?Isije ikawa Expansion Joint
Biashara ni Bora kuliko uhai?Mkuu acha kuvuruga biashara za watu
Nondo za 12mm sio tatizo ikiwa zitatumika kwenye slabs.Nondo za 12mm famasihara nini 😀😀
Aliyereport Nyufa majengo Chuo ya Magufuli Flats ni Kumbusho Dawson na alinusurika Kutekwa akapiga NDURU ndiyo pona pona yake.Gentleman,
nyufa ni jambo la kawaida kabisa nadhani katika maeneo mengi,
infact ni zakuziba na jengo likiendelea kutumika kwa usalama wa uhakika.
Abdul Nondo aliwahi kuripoti kuhusu nyufa za majengo fulani miaka ya nyuma.
Nyufa zile zilizibwa,
Na mjlengo yale yako salama na imara kweli kweli yanaendelea kutumika 🐒
alaaa! kumbe? 🐒Aliyereport Nyufa majengo Chuo ya Magufuli Flats ni Kumbusho Dawson na alinusurika Kutekwa akapiga NDURU ndiyo pona pona yake.
Hata grorofa la land mark ubungo lile la zamani lina crek naomba serikali ikalifuatilie kabla halijaleta madhara.1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Unauhakika design ya jengo ilizingatia muingiliano wa watu na kiasi cha mizigo maana wengine hugeuza ndiyo store, hukuona yale magunia ..? 😳😳Nondo za 12mm sio tatizo ikiwa zitatumika kwenye slabs.
Columns na beams ndio huhiyltaji nondo Nene na nyingi zaidi kutegemea na muundo na ukubwa wa jengo
Kuna unabii umetoka kuhusu hilo jengo la Congo Tower. Ingawa mimi binafsi silifahamu lakini nimeona kuna nabii mmoja amesema nalo lipo njiani kubusu ardhi1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Machinga Complex1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini