Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio yeye SHIDA BAJETI.Ila sidhani kama kuna mmiliki anaweza kucheza kamari ya hela yake kwa kujenga jengo chini ya kiwango
Hayo inabd yakishuka yashuke kwa pamoja1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Kudondoka ghorofa moja tu , basi kila ghorofa sasa ni bovuBiashara ni Bora kuliko uhai?
Yesu....😳Ni kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Watanzania ni watu wa upepo, sasa hivi kila jengo utaambiwa bovu , kila mtu ni Engineer sasaMaisha ya watu ni muhimu zaidi kuliko biashara za watu.
Sasa hivi kila mtu ni Engineer , wapumzisheni wafanyabiashara wa kkoo, ghorofa zinadondoka dunia nzimaAcha ujinga unataka watu wafe kisa una biashara ???
Engineer wapo watafanya kazi yao ila sio kila ufa unaporomosha ghorofa , sasa hivi kila Mtanzania ni EngineerNi kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
anatoa tahadhali mnamtukana, ivi nyie mmerogwa auMkuu acha kuvuruga biashara za watu
😀😀😀😀Jana nlikuwa napita mule ndani gafla nikamkumbuka yule nabii aliesema Lina shida nilitoka nduki
Ipo maeneo gani pale kariakoo,Sijui imekuaje Congo Tower imekua na cracks mapema hivi maana hata sio jengo la muda mrefu
huna hata picha1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Lipo tandamti na Congo au Narung'ombe na Congo...........ukiwa pale msimbazi police jengo linaonekana vizuriIpo maeneo gani pale kariakoo,
Rusha picha ya ufaNi kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Rais alishasema kuna watu watapewa hilo jukumu la kufatilia maghorofa ambao ni wataalamu wa majengo na ripoti ikitoka basi watafanya kama inavyosema ripoti , kama ni kubomoa itabomoa kama ni kuacha itaacha, shida ya Watanzania ni kufata upepo tu, kila kitu kujifanya wamesomea wao , kumbe hamna loloteanatoa tahadhali mnamtukana, ivi nyie mmerogwa au
Na unaambiwa ndiyo jengo pekee Kariakoo limekaa muda mrefu bila kupata wapangaji...Lile limeanza kwenda na watu tangu wakati linajengwa, wakati linajengwa Kuna fundi alianguka pale akiwa juu jeans alovaaa ilikua imembana ila mpaka anatua chini limekua bwanga