Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

Majengo yenye nyufa Kariakoo yanayokaribia kudondoka

Gentleman,
nyufa ni jambo la kawaida kabisa nadhani katika maeneo mengi,

infact ni zakuziba na jengo likiendelea kutumika kwa usalama wa uhakika.

Abdul Nondo aliwahi kuripoti kuhusu nyufa za majengo fulani miaka ya nyuma.

Nyufa zile zilizibwa,
Na mjlengo yale yako salama na imara kweli kweli yanaendelea kutumika 🐒
Usilete siasa kwenye masuala ya kitaaluma.Kama limeonekana lina nyufa wacha wahandisi wafanye ukaguzi ndiyo wanaweza kutoa kauli kama ni salama au ni hatarishi.
 
Usilete siasa kwenye masuala ya kitaaluma.Kama limeonekana lina nyufa wacha wahandisi wafanye ukaguzi ndiyo wanaweza kutoa kauli kama ni salama au ni hatarishi.
sasa unakasirika nini na wahandisi wanaendelea na majukumu yao gentleman? hebu relax bana 🤣

unadhani waliosema,
usiboziba ufa utajenga ukuta ilikua ni mzaha eee?🐒
 
Ni kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Lipo sokoni wanauza B13

 
Mkuu acha kuvuruga biashara za watu
Kufumbiana na kuoneana haya kumegharimu maisha ya wengi wasio na hatia tena vijana wadogo walioamua kujiajiri na kujikwamua kwenye minyororo ya umasikini hebu tuwataje kwanini ukusanye fedha kwa kuhatarisha maisha ya wasio na hatia wenye kujitafuta
 
Nadhani tungepata picha za hizo nyufa tuone, maana kuna ‘settlement cracks’ ambazo ni kawaida kwenye majengo mapya na hazina madhara.
 
Baada ya kufukua shimo kubwa ule mchanga ukawa unatoka kwenye lile jengo pembeni........wakawa wanauzuia na viroba vya mchanga mpaka msingi wa lile jengo uko nje nje kabisaa...........sasa kwanini ufa usitokee
Duh! Mbona ni hatari sana na mamlaka zilikua zinaangalia tu mpaka maafa yatokee?
 
Nyie ndio Mnatufanya tuishi kwa wasi wasi kariakoo, saiv ukiona mtu anakimbia kariakoo usiulize kuna nini na wewe 🏃
 
Kufumbiana na kuoneana haya kumegharimu maisha ya wengi wasio na hatia tena vijana wadogo walioamua kujiajiri na kujikwamua kwenye minyororo ya umasikini hebu tuwataje kwanini ukusanye fedha kwa kuhatarisha maisha ya wasio na hatia wenye kujitafuta
Shida pale sio jengo ni wale wapuuzi waliokuwa wanataka kuongeza store underground kiholela
 
Back
Top Bottom