SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Usilete siasa kwenye masuala ya kitaaluma.Kama limeonekana lina nyufa wacha wahandisi wafanye ukaguzi ndiyo wanaweza kutoa kauli kama ni salama au ni hatarishi.Gentleman,
nyufa ni jambo la kawaida kabisa nadhani katika maeneo mengi,
infact ni zakuziba na jengo likiendelea kutumika kwa usalama wa uhakika.
Abdul Nondo aliwahi kuripoti kuhusu nyufa za majengo fulani miaka ya nyuma.
Nyufa zile zilizibwa,
Na mjlengo yale yako salama na imara kweli kweli yanaendelea kutumika 🐒
sasa unakasirika nini na wahandisi wanaendelea na majukumu yao gentleman? hebu relax bana 🤣Usilete siasa kwenye masuala ya kitaaluma.Kama limeonekana lina nyufa wacha wahandisi wafanye ukaguzi ndiyo wanaweza kutoa kauli kama ni salama au ni hatarishi.
Hii kazi waachie watu wa tume manaa ni wataalamu wa haya mambo, kuuliza bila utaalamu ni kazi bure, wao wanajua kipi cha kufanyaHao watu wa Tume mwisho wa siku lazima waulize watu
Ukiweka na ushahidi wa picha itakuwa vizuri sana1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
Sema tu hakuna anae zuiwa kupiga kelele, ila mambo ya kitaalamu huwezi maliza kwa keleleSasa kama jengo lina Ufa tusiseme juu Ma' Engineer wapo?
Lipo sokoni wanauza B13Ni kweli...
Congo tower in ufa mkubwa tu..
Upande ule wanapojenga jengo jipya..
Hili nimelionaChina plaza
Golden Tower pale Indira Ghandi1. Congo Tower
2......
3.........
Tuendelee kuyataja hapa chini
🤣 🤣 🤣Jana nlikuwa napita mule ndani gafla nikamkumbuka yule nabii aliesema Lina shida nilitoka nduki
🤣 🤣 🤣Utashangaa tume itasema ni expansion joint
🤣 🤣 🤣Upele umepata mkunaji tutayajuwa mengi tu.
Kufumbiana na kuoneana haya kumegharimu maisha ya wengi wasio na hatia tena vijana wadogo walioamua kujiajiri na kujikwamua kwenye minyororo ya umasikini hebu tuwataje kwanini ukusanye fedha kwa kuhatarisha maisha ya wasio na hatia wenye kujitafutaMkuu acha kuvuruga biashara za watu
Duh! Mbona ni hatari sana na mamlaka zilikua zinaangalia tu mpaka maafa yatokee?Baada ya kufukua shimo kubwa ule mchanga ukawa unatoka kwenye lile jengo pembeni........wakawa wanauzuia na viroba vya mchanga mpaka msingi wa lile jengo uko nje nje kabisaa...........sasa kwanini ufa usitokee
Hiyo ni expansion joint mkuu😀Sijui imekuaje Congo Tower imekua na cracks mapema hivi maana hata sio jengo la muda mrefu
Shida pale sio jengo ni wale wapuuzi waliokuwa wanataka kuongeza store underground kiholelaKufumbiana na kuoneana haya kumegharimu maisha ya wengi wasio na hatia tena vijana wadogo walioamua kujiajiri na kujikwamua kwenye minyororo ya umasikini hebu tuwataje kwanini ukusanye fedha kwa kuhatarisha maisha ya wasio na hatia wenye kujitafuta