Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Israel wameamua kusacrifice mateka 300 ili kulinda raia wakeHamtaki mateka Tena!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel wameamua kusacrifice mateka 300 ili kulinda raia wakeHamtaki mateka Tena!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nguo ya mtotoUnaweza kukuta ni kakijana kadogo kalichojichokea, kanzu imechakaa, kikofia kimeshonwa, amevaa suruali ya mtoto na yeboyebo zilizotoboka, ndio utajilaumu kumpa umuhimu[emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah mjomba, utazua tafrani pale. Wakiliamsha "Takbiiir, Allah u akbar x3" hutapata pa kutokea. Hao jamaa ni washari sana.
Kumah weweMbona umekuja umeshikilia underwear na dera umejifunga kichwani? Tuliza mshono. Usitokwe povu. Haya mambo hayataki hasira. Just calm down. Mwana kulitaka mwana kulipata. Usipovuke sana utakosa mate mwilini. Nenda kanawe uvae kisha uje....
Unajitukana sehemu zako mwenyeweKumah wewe
hayo yameisha fanyika tangia zamani tuu . mpaka sasa hivi hamas hana msiba wala mazishi maana askari zake waliofukiwa mahandakini idadi yao inajaa uwanja wa Azam chamazi na kubaki.Nyoka akiingia kwenye shimo ardhini ambalo njia ya kutokea au za kutokea unazijua unamfata shimoni wa nini kupoteza muda!?,unaziba mashimo tu kwa vitu vizito anabakia hukohuko bila hewa. Hakuna msiba, hakuna mazishi. Unakuwa umekata mzizi wa fitina. Maisha mengine yanaendelea.
Unatumia njia ya haja kubwa kufikiri.Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Mkuu kuna mahala umekosea aliye anzakumchokoza mwenzake tarehe 7 ni Israel au Hamas?Jamaa wanaendelea na operation yao. Bila kelele. Naona kwa sasa wanaendelea na kubomoa miundo mbinu ambayo wanaiiita ya Kigaidi.
Hali ni Mbaya.... Wanajeshi wa Hamas hawaonekani eneo hili nimejaribu kuwaangalia bila mafanikio. But naomba sana hii vita iishe. Inatosha sasa.
Wapalestine wa Hamas wanauliwa bila kosa kabisa. Walikuwa Hamas wametulia tu naona wanajeshi wa Israel wakaamua kwenda kuanzisha vita. Why jamani, why?kwa nini? Israel atapigika sana. Subiri tu afike sehemu flani. Wametegewa mchezo.
View attachment 2808953
Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Ndiyo njia ambayo mama yako hutumia kufikiri!?Unatumia njia ya haja kubwa kufikiri.