Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Unaweza kukuta ni kakijana kadogo kalichojichokea, kanzu imechakaa, kikofia kimeshonwa, amevaa suruali ya mtoto na yeboyebo zilizotoboka, ndio utajilaumu kumpa umuhimu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nguo ya mtoto
 
Mbona umekuja umeshikilia underwear na dera umejifunga kichwani? Tuliza mshono. Usitokwe povu. Haya mambo hayataki hasira. Just calm down. Mwana kulitaka mwana kulipata. Usipovuke sana utakosa mate mwilini. Nenda kanawe uvae kisha uje....
Kumah wewe
 
hayo yameisha fanyika tangia zamani tuu . mpaka sasa hivi hamas hana msiba wala mazishi maana askari zake waliofukiwa mahandakini idadi yao inajaa uwanja wa Azam chamazi na kubaki.
 
Mkuu kuna mahala umekosea aliye anzakumchokoza mwenzake tarehe 7 ni Israel au Hamas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…