Majeshi ya Ethiopia yajikusanya katika mpaka wa Kenya na Somalia, yakijiandaa kwa mashambulizi

Majeshi ya Ethiopia yajikusanya katika mpaka wa Kenya na Somalia, yakijiandaa kwa mashambulizi

Jeshi la Kenya sio lenye kiwango kama la Ethiopia, kiuwezo, kiuchumi hilo kosa haliwezi kufanyika na mwana diplomasia kama Uhuru kinyatta......jeshi la Ethiopia sio kama la Tz ambalo halina mazoezi ya vita zaidi ya kulinda Amani katika nchi zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijapata vizuri "point" yako, lengo lako unataka kusemaje kuhusu hiki kitendo cha majeshi ya Ethiopia kujikusanya karibu na Kenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Unadhani kwanini hao wakazi wa Mandera wanapata wasiwasi?. Hayo majeshi ya Jubaland yanasaidiwa na serikali ya Kenya, wakizidiwa wanaingia Kenya kujificha, wiki mbili zilizopita majeshi ya serikali ya Somalia yalivuka mpaka na kuwafata hadi hapo Mandera.

Muhimu ni kwamba Kenya inasaidia serikali ya Jubaland, na Ethiopia inasaidia serikali ya Mogadishu, Kenya na Ethiopia wanapigana "Proxiwa". Hao Ethiopia wanajua majeshi ya Jubaland yatakimbilia ndani ya Kenya, wamejiandaa kuwafuata ndani ya ardhi ya Kenya, KDF wakijibu mapigo ndio mtakapopata kichapo cha Mbwa koko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bana, wakifika Nairobi utufahamishe ukiwa huko huko Tandale. Sisi tupo busy tukipambana na virusi vya Corona.
 
Hivi shida ni kiingereza au? Wapi Ethiopia anataka kupigana na Kenya?
Hahahaha, mumeanza kujinyea sio?, soma post yangu #17 hapo juu. Kenya haiwezi kupigana na Ethiopia, ila Kenya itapigwa na Ethiopia Kama itaendelea kusaidia na kuyaficha majeshi ya Jubaland [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna vita hapo, Uhuru Kenyatta sio mjinga kiasi hicho, anajua uwezo wa jeshi la Ethiopia, hawezi kuruhusu walevi wa KDF kupigana na jeshi la Ethiopia, ndani ya wiki moja, Nairobi itakuwa mikononi mwa wahabeshi.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ethiopia ambao walishindwa kuangamiza Eritrea one of the poorest countries in Africa?
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Unadhani kwanini hao wakazi wa Mandera wanapata wasiwasi?. Hayo majeshi ya Jubaland yanasaidiwa na serikali ya Kenya, wakizidiwa wanaingia Kenya kujificha, wiki mbili zilizopita majeshi ya serikali ya Somalia yalivuka mpaka na kuwafata hadi hapo Mandera.

Muhimu ni kwamba Kenya inasaidia serikali ya Jubaland, na Ethiopia inasaidia serikali ya Mogadishu, Kenya na Ethiopia wanapigana "Proxiwa". Hao Ethiopia wanajua majeshi ya Jubaland yatakimbilia ndani ya Kenya, wamejiandaa kuwafuata ndani ya ardhi ya Kenya, KDF wakijibu mapigo ndio mtakapopata kichapo cha Mbwa koko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi la Somalia halikuingia ndani ya Kenya. Bangi gani hiyo unavuta. Ebu leta evidence
 
Hahahaha, mumeanza kujinyea sio?, soma post yangu #17 hapo juu. Kenya haiwezi kupigana na Ethiopia, ila Kenya itapigwa na Ethiopia Kama itaendelea kusaidia na kuyaficha majeshi ya Jubaland [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya itapigwa na Ethiopia waihujumu Kenya kiuchumi, Tanzania itupiku ichukue nafasi ya pili after Ethiopia alafu Kenya ichukue position 3 ambayo ilikuwa ya Tz alafu joto la jiwe afurahi..."tumeipiku Kenya" ...bure kabisa it will never happen ni Kama kungoja Bandari ya Bagamoyo ianze Kuzinduliwa na praise team 😉
 
Inawezekana hawa ktn siku hizi wanatumiwa na mabeberu kupotosha dunia Kuhusu Kenya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

ETGz5eOUwAAM2Sp.jpeg

The point of contact was at bula hawo.wacha kueneza porojo zako
images (5).jpeg

From the second map you can clearly see the location of Mandera and its proximity to both Somalia and Ethiopia.
 
Kenya itapigwa na Ethiopia waihujumu Kenya kiuchumi, Tanzania itupiku ichukue nafasi ya pili after Ethiopia alafu Kenya ichukue position 3 ambayo ilikuwa of Tz alafu joto la jiwe afurahi..."tumeipiku Kenya" ...bure kabisa it will never happen ni Kama kungoja Bandari ya Bagamoyo ianze Kuzinduliwa na praise team 😉
Ethiopia going to war with Kenya is the dream of every virgin zoomali. This Will not happen.we all know #ENDF & KDF won't engage each other, but use Somali foot soldiers.
Currently SNA militia cannot withstand Jubaland forces
 
Nilikuambia uache kueneza propaganda zisizo na msingi .Kama huelewi kinacho endelea Somalia sema uelimishwe.
When are you going to graduate and get your degree of stupidity?, I think you are among few people over here with high degree of foolishness and stupidity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom