Majeshi ya Ethiopia yajikusanya katika mpaka wa Kenya na Somalia, yakijiandaa kwa mashambulizi

Majeshi ya Ethiopia yajikusanya katika mpaka wa Kenya na Somalia, yakijiandaa kwa mashambulizi

ESCyGYEXYAA6ZQ7.jpeg

ESCyGIkXkAAyYY7.jpeg

ESCyGxcWsAEnL6B.jpeg

ESCyGxcWsAEnL6B.jpeg

This was earlier last month when SNA did search on the home of militia leader janan in doolow Somalia .they found a large stack of weapons & cash.
Kama mtu hajui kinacho endelea kwa ground aseme aelimishwe si kufungua nyuzi ambazo hata yeye mwenyewe haelewi context.
 
Nimeona ka Djibouti kapo strategically sana japo ni kadogo nadhani Kenya wakiamua kwa uchumi wao wanaweza kuwapiku despite of mataifa mengi ya dunia ikiwemo America, France, Japan n.k kuifanya ile nchi ni watchtower yao.

Sasa mkuu Kenya huwa anafanya biashara zake na nchi gani ukiitoa Uganda maana bandari ya Mombasa ina mapato makubwa kuliko ya DSM?
Wewe sasa ndio Mtu unayeuliza maswali ya maana Sana.
1)Ethiopia imeshajenga reli hadi Djibouti tena ya umeme kwa kutumia mkopo wa wachina, hakuna jinsi kwamba Ethiopia itaacha kutumia hiyo reli yao ili kupata pesa ya kulipa deni.

2)Hivi karibuni Ethiopia wamemaliza tofauti zao na Eritrea, hivyo kuifanya bandari ya Eritrea kuwa karibu zaidi kwa kutumia barabara endapo reli itapata matatizo, kwahiyo Ethiopia haina sababu wala mpango wowote wa kutumia bandari za Kenya.

3)Kenya kwa ujumla, uchumi wake upo mashakani Sana kwa sasa, uchumi wa Kenya ulijengeka Sana kwa kutumia udhahifu waemajirani wake, hasa Tanzania.

Miaka yote ya kipindi cha mwalimu Nyerere, Tanzania ilisimamisha shughuli zote za maendeleo ili kujikita katika ukombozi kusini mwa Africa, bandari zetu zilitumika zaidi kusafirisha shaba ya Zambia na mazao yetu hapa Tanzania, hasa mkonge, bidhaa za nchi zote kuanzia Uganda, Eastern DR, Rwanda, Burundi na bidhaa zote za Viwandani za Kenya(Kumbuka Kenya manufacturing Industry ilikua mikononi mwa waingereza by95%) zilisafirishwa kupitia Mombasa.

Sasa hivi hiyo hali imebadilika ghafla Sana, hasa baada ya kuingia Magufuli, Kenya imepoteza Mzigo wote wa Burundi, imepoteza 95% ya Rwanda, almost 60% wa DRC, na 30% ya mzigo wa Uganda, hii ndio sababu China wamekataa kutoa pesa za SGR baada ya kuona kwamba mategemeo ya Kenya kusafirisha mzigo wa Rwanda na DRC haupo tena, hivyo umuhimu wa SGR ya Kenya kiuchumi, umepungua Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me make things clear .Distance from (Mandera Kenya) to dolow Somalia is roughly 40km .
If anyone has been following development surrounding Abdirashid Janaan .You will know that the he had his militia base at dolow and also had an Airstrip named after him.The said airport was captured by SNA then recently handed to Ethiopians.
View attachment 1397419
There is a reason why SNA is being withdrawn from Gedo and getting replaced by Amisom forces (which I will explain later)
Achana nao hao hawa mazero brain. Mimi nashangaa kwanini hadi sasa hivi Ethiopia hawajaanza kuishambulia Kenya. Mleta mada alituambia kwamba wanajitayarisha. [emoji1] joto la jiwe, inaenda kufikia masaa zaidi ya 24, tangu utuambie kwamba mashambulizi yanaanza. Vipi antenna yako imedondoka huko Tandale au ndio kunaendaje?
 
Next am going to expound on why SNA is being withdrawn from Gedo region and shed more light on the currently ongoing operation by Amisom before their planned exit in 2021.
 
Achana nao hao hawa mazero brain. Mimi nashangaa kwanini hadi sasa hivi Ethiopia hawajaanza kuishambulia Kenya. Mleta mada alituambia kwamba wanajitayarisha. [emoji1] joto la jiwe, inaenda kufikia masaa zaidi ya 24, tangu utuambie kwamba mashambulizi yanaanza. Vipi antenna yako imedondoka huko Tandale au ndio kunaendaje?
Hahahaha, chupi zimeanza kuwabana sio?, KDF sasa hivi wameanza kujinyea katika chupi zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kenya iko mbele sana ki-inteligencia kwa sababu ya uwepo wa US military base tatizo lao kuu naona ni kucheza na nchi ya kipuuzi kama Somalia ambayo hatujui inapambania nini maana Magaidi wanaishambulia Garisa na Serikali inaishambulia Garisa.

Tanzania hatujapata tu hizo chokochoko siku wakipata sababu za kuja tutaelewa somo
Ndoto yako ni tamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya ndiyo itaporomoka kabisa pia Kenya inaweza kukatwa kirahisi vipande viwili yani Mombasa kuwa nchi kamili maana hata Kenya inajaribu kuikata somalia kwa manufaa yake pia wasomali wanaweza kuikata Kenya kwa manufaa yao tena habari ya chini ya kapeti zinasema harakati za kuikata Kenya zimeanza na dalili zinaonekana ila serikali dhaifu ya Kenya imeshindwa kung'amua ,kama mnakumbuka kikundi cha ugaidi kimeanza kuua kwa kuangalia watu wa Kenya bara na Kenya pwani hii inaanza kuwapatia wafuasi kutoka bara maana serikali ya Kenya imeanza kuachia ajira za watu wa pwani kwa watu wa pwani hivyo watu wa pwani waliokuwa na chuki za ajira zao kuchukuliwa na watu wa bara wameanza kuwakubali magaidi kwa namna moja au nyingine,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapeni zanzibar nchi yao bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakimbie ikiwezekana na bunduki waziache huko huko
Tension in Mandera as Ethiopian Troops Amass
Kenya hili mlilitaka wenyewe kutokana na kiburi chenu na kujifanya wajuaji, ni wazi kwamba KDF hawana uwezo wa kupingana na majeshi ya Ethiopia, ushauri wangu, kuweni wapole sana, hata wakivuka mpaka na kuingia Kenya, msijibu mashambulizi, badala yake tumieni njia za kidiplomasia kutafuta suluhu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, chupi zimeanza kuwabana sio?, KDF sasa hivi wameanza kujinyea katika chupi zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto huu na akili finyu, vikosi vya Ethiopia vimefika wapi hadi sasa hivi kwenye mashambulizi na safari yao ya kuingia hadi Nairobi? Wamefika Hargeisa, Habaswein au Modogashe?
 
Utoto huu na akili finyu, vikosi vya Ethiopia vimefika wapi hadi sasa hivi kwenye mashambulizi na safari yao ya kuingia hadi Nairobi? Wamefika Hargeisa, Habaswein au Modogashe?
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, punguzeni woga, kwanini unapanic kiasi cha kushindwa kusoma na kuelewa mada kwa undani?.

Nimesema Majeshi ya Ethiopia yanasaidia majeshi ya Somalia kupigana na majeshi ya Jubaland, na ninyi Kenya huwa mnasaidia majeshi ya Jubaland. Nimeshauri kwamba endapo majeshi ya Jubaland yataingia Kenya kujificha, majeshi ya Ethiopia yatakuja kuwatafuta, kama KDF itashambulia jeshi la Ethiopia ndani ya ardhi ya Kenya, lazima Ethiopia itawacharaza KDF na ndani ya wiki moja wahabeshi watakua katikati ya Nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom