Majeshi ya Ethiopia yajikusanya katika mpaka wa Kenya na Somalia, yakijiandaa kwa mashambulizi

Sijapata vizuri "point" yako, lengo lako unataka kusemaje kuhusu hiki kitendo cha majeshi ya Ethiopia kujikusanya karibu na Kenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa bana, wakifika Nairobi utufahamishe ukiwa huko huko Tandale. Sisi tupo busy tukipambana na virusi vya Corona.
 
Hivi shida ni kiingereza au? Wapi Ethiopia anataka kupigana na Kenya?
Hahahaha, mumeanza kujinyea sio?, soma post yangu #17 hapo juu. Kenya haiwezi kupigana na Ethiopia, ila Kenya itapigwa na Ethiopia Kama itaendelea kusaidia na kuyaficha majeshi ya Jubaland [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiopia ambao walishindwa kuangamiza Eritrea one of the poorest countries in Africa?
 
Jeshi la Somalia halikuingia ndani ya Kenya. Bangi gani hiyo unavuta. Ebu leta evidence
 
Kenya itapigwa na Ethiopia waihujumu Kenya kiuchumi, Tanzania itupiku ichukue nafasi ya pili after Ethiopia alafu Kenya ichukue position 3 ambayo ilikuwa ya Tz alafu joto la jiwe afurahi..."tumeipiku Kenya" ...bure kabisa it will never happen ni Kama kungoja Bandari ya Bagamoyo ianze Kuzinduliwa na praise team 😉
 
Inawezekana hawa ktn siku hizi wanatumiwa na mabeberu kupotosha dunia Kuhusu Kenya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

The point of contact was at bula hawo.wacha kueneza porojo zako

From the second map you can clearly see the location of Mandera and its proximity to both Somalia and Ethiopia.
 
Ethiopia going to war with Kenya is the dream of every virgin zoomali. This Will not happen.we all know #ENDF & KDF won't engage each other, but use Somali foot soldiers.
Currently SNA militia cannot withstand Jubaland forces
 
Nilikuambia uache kueneza propaganda zisizo na msingi .Kama huelewi kinacho endelea Somalia sema uelimishwe.
When are you going to graduate and get your degree of stupidity?, I think you are among few people over here with high degree of foolishness and stupidity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…