Kuna Wakati unakuwa na akili kidogo, huwa inakuwa ni mara ngapi kwa mwaka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukula kinyesi na zeruzeru je?
Kabla ifikie wakati huo, Mombasa vs Dark Es Sluum 😁Subiri tu siyo kupigwa tu miaka si mingi Mombasa itakuwa nchi msije sema mm ni nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa ndio Mtu unayeuliza maswali ya maana Sana.Nimeona ka Djibouti kapo strategically sana japo ni kadogo nadhani Kenya wakiamua kwa uchumi wao wanaweza kuwapiku despite of mataifa mengi ya dunia ikiwemo America, France, Japan n.k kuifanya ile nchi ni watchtower yao.
Sasa mkuu Kenya huwa anafanya biashara zake na nchi gani ukiitoa Uganda maana bandari ya Mombasa ina mapato makubwa kuliko ya DSM?
Achana nao hao hawa mazero brain. Mimi nashangaa kwanini hadi sasa hivi Ethiopia hawajaanza kuishambulia Kenya. Mleta mada alituambia kwamba wanajitayarisha. [emoji1] joto la jiwe, inaenda kufikia masaa zaidi ya 24, tangu utuambie kwamba mashambulizi yanaanza. Vipi antenna yako imedondoka huko Tandale au ndio kunaendaje?Let me make things clear .Distance from (Mandera Kenya) to dolow Somalia is roughly 40km .
If anyone has been following development surrounding Abdirashid Janaan .You will know that the he had his militia base at dolow and also had an Airstrip named after him.The said airport was captured by SNA then recently handed to Ethiopians.
View attachment 1397419
There is a reason why SNA is being withdrawn from Gedo and getting replaced by Amisom forces (which I will explain later)
Hahahaha, chupi zimeanza kuwabana sio?, KDF sasa hivi wameanza kujinyea katika chupi zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nao hao hawa mazero brain. Mimi nashangaa kwanini hadi sasa hivi Ethiopia hawajaanza kuishambulia Kenya. Mleta mada alituambia kwamba wanajitayarisha. [emoji1] joto la jiwe, inaenda kufikia masaa zaidi ya 24, tangu utuambie kwamba mashambulizi yanaanza. Vipi antenna yako imedondoka huko Tandale au ndio kunaendaje?
Better than eating black meat of Jaluo [emoji23][emoji23][emoji23]Kukula kinyesi na zeruzeru je?
Ulijuaje ni ya black ama ni vile ya zeruzeru ni white? Ama wewe huchagui unabugia both black and white? 😂😂😂Better than eating black meat of Jaluo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshaona Rangi ya ngozi ya Jaluo?, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulijuaje ni ya black ama ni vile ya zeruzeru ni white? Ama wewe huchagui unabugia both black and white? [emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima nioshe choo kiwe safi sasa kituko ni nyinyi wakenya hata kuchamba amchambi sijui Nani kawalogaSindio unaishi tandale. Kazi ni kuosha choo na kuambukiza watu corona
Ndoto yako ni tamu sanaMkuu Kenya iko mbele sana ki-inteligencia kwa sababu ya uwepo wa US military base tatizo lao kuu naona ni kucheza na nchi ya kipuuzi kama Somalia ambayo hatujui inapambania nini maana Magaidi wanaishambulia Garisa na Serikali inaishambulia Garisa.
Tanzania hatujapata tu hizo chokochoko siku wakipata sababu za kuja tutaelewa somo
Kwanza tujibuni kwanini wakenya amtawazi mkienda chooniUlijuaje ni ya black ama ni vile ya zeruzeru ni white? Ama wewe huchagui unabugia both black and white? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuhusu Tanzania kupata chokochoko au umbele wa Kenya?
Wapeni zanzibar nchi yao banaKenya ndiyo itaporomoka kabisa pia Kenya inaweza kukatwa kirahisi vipande viwili yani Mombasa kuwa nchi kamili maana hata Kenya inajaribu kuikata somalia kwa manufaa yake pia wasomali wanaweza kuikata Kenya kwa manufaa yao tena habari ya chini ya kapeti zinasema harakati za kuikata Kenya zimeanza na dalili zinaonekana ila serikali dhaifu ya Kenya imeshindwa kung'amua ,kama mnakumbuka kikundi cha ugaidi kimeanza kuua kwa kuangalia watu wa Kenya bara na Kenya pwani hii inaanza kuwapatia wafuasi kutoka bara maana serikali ya Kenya imeanza kuachia ajira za watu wa pwani kwa watu wa pwani hivyo watu wa pwani waliokuwa na chuki za ajira zao kuchukuliwa na watu wa bara wameanza kuwakubali magaidi kwa namna moja au nyingine,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tension in Mandera as Ethiopian Troops Amass
Kenya hili mlilitaka wenyewe kutokana na kiburi chenu na kujifanya wajuaji, ni wazi kwamba KDF hawana uwezo wa kupingana na majeshi ya Ethiopia, ushauri wangu, kuweni wapole sana, hata wakivuka mpaka na kuingia Kenya, msijibu mashambulizi, badala yake tumieni njia za kidiplomasia kutafuta suluhu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechange gearHahahaha, chupi zimeanza kuwabana sio?, KDF sasa hivi wameanza kujinyea katika chupi zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto huu na akili finyu, vikosi vya Ethiopia vimefika wapi hadi sasa hivi kwenye mashambulizi na safari yao ya kuingia hadi Nairobi? Wamefika Hargeisa, Habaswein au Modogashe?Hahahaha, chupi zimeanza kuwabana sio?, KDF sasa hivi wameanza kujinyea katika chupi zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, punguzeni woga, kwanini unapanic kiasi cha kushindwa kusoma na kuelewa mada kwa undani?.Utoto huu na akili finyu, vikosi vya Ethiopia vimefika wapi hadi sasa hivi kwenye mashambulizi na safari yao ya kuingia hadi Nairobi? Wamefika Hargeisa, Habaswein au Modogashe?