pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Acha upumbavu joto la jiwe, hebu soma tena kichwa cha uzi wako, kisha usome hizi pumba kwenye taarifa yako; ''Kenya hili mlilitaka wenyewe kutokana
na kiburi chenu na kujifanya wajuaji,
ni wazi kwamba KDF hawana uwezo
wa kupingana na majeshi ya Ethiopia,
ushauri wangu, kuweni wapole sana,
hata wakivuka mpaka na kuingia Kenya, msijibu mashambulizi, badala
yake tumieni njia za kidiplomasia
kutafuta suluhu.'' Swali langu linabaki pale pale. Mashambulizi ya vikosi vya kijeshi vya Ethiopia yamefikia wapi hadi sasa hivi na wamewaua wakenya wangapi kufikia sasa?
na kiburi chenu na kujifanya wajuaji,
ni wazi kwamba KDF hawana uwezo
wa kupingana na majeshi ya Ethiopia,
ushauri wangu, kuweni wapole sana,
hata wakivuka mpaka na kuingia Kenya, msijibu mashambulizi, badala
yake tumieni njia za kidiplomasia
kutafuta suluhu.'' Swali langu linabaki pale pale. Mashambulizi ya vikosi vya kijeshi vya Ethiopia yamefikia wapi hadi sasa hivi na wamewaua wakenya wangapi kufikia sasa?