Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kigezo ni military expenditure. DRC wanachezewa na M23 halafu wawe stronger than sisi? Kenya nao hawajajithibitisha popote!Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Dr congo????Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Hamna kitu pale. Choka mbaya wale wakata viuno.Dr congo????
Hkwanini unafikiri hivyo boss?Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Unaweza kupitwa na hizo nchi zenye machafuko kwasababu wao huwa na experience kubwa na muhimu zaidi kivitaLabda kigezo ni military expenditure. DRC wanachezewa na M23 halafu wawe stronger than sisi? Kenya nao hawajajithibitisha popote!
Tufocus kwenye kujenga jeshi letu tuache kujilinganisha na wengine.Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Hata mimi nimeshangaa, hao Angola na Msumbiji kila siku tunawasaidia sisi inakuwaje wanatuzidi?Labda kigezo ni military expenditure. DRC wanachezewa na M23 halafu wawe stronger than sisi? Kenya nao hawajajithibitisha popote!
Hii list niya muda gani ? Maana haina uhalisia. Congo kuna jeshi gani? Libya, South Sudan, Mali,Mauritania, Namibia??Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Kwa Maoni yangu Hii list Iko sawa kabisa ..
Kwa hoja zako maanake hata US iliyopigana na wagambo wa Taliban Kwa miaka 21 ni dhaifu Kwa ti zii ambayo haiko vitani Kwa miaka 45?
Nb.
Kupigana na vikundi vya kiasi kama Boko Haram, IS, na Alshabab nk ni kazi ngumu kuliko kupigana na jeshi la taifa.wao wanaopigana ili wafe waende heaven,wengine wanaopigana kujihami wasife walinde familia.
Usiwabeze Kongo, Nigeria, na Kenya hao sio type yetu Wana uzoefu wa kivita miaka nenda rudi.
Unatumia vigezo gani kuipa nchi uwezo wa kijeshi? Tuanzie hapoKwa Maoni yangu Hii list Iko sawa kabisa ..
Kwa hoja zako maanake hata US iliyopigana na wagambo wa Taliban Kwa miaka 21 ni dhaifu Kwa ti zii ambayo haiko vitani Kwa miaka 45?
Nb.
Kupigana na vikundi vya kiasi kama Boko Haram, IS, na Alshabab nk ni kazi ngumu kuliko kupigana na jeshi la taifa.wao wanaopigana ili wafe waende heaven,wengine wanaopigana kujihami wasife walinde familia.
Usiwabeze Kongo, Nigeria, na Kenya hao sio type yetu Wana uzoefu wa kivita miaka nenda rudi.
Ukiacha mahaba na nchi yako lakini kiuhalisia hakuna vigezo vyovyote ambavyo vinaweza kuiweka Tanzania katika 5 bora Africa labda utueleze wewe.Sijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198
Sasa ukibase kwenye hivyo vigezo unaiona South Sudan hapo?Uzoefu wa kimapigano Kwa muda mrefu ni factor namba 1.
2. Teknolojia za kisasa.drone technologies, Air defenses systems,
3. Nk