nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Congo ya 8 lakini imeshindwa kuondoa kikundi kidogo tu cha M23. This is a fake listSijajua vimetumika vigezo gani. Lakini nadhani TZ ilipaswa iwe ya kwanza au angalau kwenye 3 bora.
View attachment 3219198