Majeshi ya Nchi 30 yenye nguvu Barani Africa

Labda kigezo ni military expenditure. DRC wanachezewa na M23 halafu wawe stronger than sisi? Kenya nao hawajajithibitisha popote!
Wanaotoa takwimu hawaokoti kijiweni kama wewe mkuu , mambo ya jeshi yanaenda sambamba na uwezo wa kiuchumi , na uwekezaji. Wanaangalia zana za kijeshi hasa za kisasa, active soljer miongoni mwa mambo mengine. Kuna nchi kama egypt ina jet fighter zaidi ya 30 tz tunazo ngapi?
 
haya mambo yapo juu ya uwezo wako wa uelewa mkuu
 
Hizo 5 bora hapo sio level zetu kwa namna yeyote ile. Naona umekuwa brainwashed na serikali cha chama cha mapinduzi.
Kwamba jeshi la mozambique ni bora kuliko la tanzania? Brainwashed,sawa.
 
Wabongo wanajikubali sana
ajikubali
 
hata hivyo wamekosea hiyo nafasi jeshi Gani linalopiga raia kibiti ...lipate nafasi ya 15
 
Hayo mavitambi yao ww ulitaka wawekwe namba ipi,Tena wangewekwa mwisho.
 

Hamna kazi ngumu kama kupambana na magaidi wa waislamu, wao huwa tayari kufa ili wakawahi mabikira.
Nigeria na Kenya wamekua tested kwenye hili, JWTZ wamesumbuliwa kidogo na wanywa gongo pale Kibiti ila bado hawajakumbana na huo matiti.
Magaidi ya waislamu wa Msumbiji huingia Tanzania na kujipigia na kuondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…