Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu wasudani hao itakua wamebeba na mafta hapo kwenye convoyNgoja wamlawiti hichi kibabu PK
..Naona Jumuiya ya Afrika Mashariki imedhamiria amani ipatikane Congo.
..Sudani ya Kusini naye imetoa wanajeshi wake kwenda Congo kulinda amani.
Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
Jangwa liko Sudan Mzee; South Sudan ni misitu minene almost sawa na ile ya DRC.Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
Ni muda kidogo umepita tangu wametulia hawana mapigano ingawa lolote linaweza kutokea. Wakimbizi, kuishi kwa mashaka ni kawaida yao tangu miaka ya 1980s uko. Hawawezi acha kufanya mengine.Mbona Sudan ya Kusini wenyewe kwa wenyewe bado wanatwangana!
South Sudan siyo jangwa.Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
..Naona Jumuiya ya Afrika Mashariki imedhamiria amani ipatikane Congo.
..Sudani ya Kusini naye imetoa wanajeshi wake kwenda Congo kulinda amani.
Acha kuleta chai hapa, S.Sudan ni misitu minene sawa na Kongo.Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
ndio maana jenerali Kabarebe James kaondoka na jeneral Nziza pale hapakaliki jamaa amekonda ghafla leo nilipomuona anasherehekea mwaka mpya mapema ili akapumzikeHii fitina ya USA kumuangusha kagame imekaribia usishangae rwanda kutokea mapinduzi.
maana vikosi vizuri vipo mozambiq
kama na sudani kusini,ataenda itakua vzr
WengI wao ni SPLM IN OPPOSITION,Pagak ndiyo ilikuwa base yao na ni misitu na mito,ni watu wenye roho nzuri na adabu sana nje ya uwanja wa vita.Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
Sudan kusini misitu pia ipo, wana hadi mbuga za wanyama kama huku kwetuSudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
Wa south sudan wengi ukikutana nao uraiani ni watu poa, achana na hawa waliovurugwa na umagharibi, kutana na raia tu wa kawaida jamaa ni peace sana ila tu usilete ujuaji mwingi na kujifanya mjanja ukawaletea uhuni, jamaa wakikubadilikia hutasalimikaWengI wao ni SPLM IN OPPOSITION,Pagak ndiyo ilikuwa base yao na ni misitu na mito,ni watu wenye roho nzuri na adabu sana nje ya uwanja wa vita.
Naamini watafanya kaziOperation ghali zaidi ya UN duniani 'Monusco' haijafanikiwa japo imejitahidi mno kutuliza hali.....tuone kama EAC wataongeza jipya.
mtu chake Moronight walker zitto junior