Majeshi ya Sudani ya Kusini yaelekea Mashariki ya Congo kulinda amani

Majeshi ya Sudani ya Kusini yaelekea Mashariki ya Congo kulinda amani

Sudan ni jangwani na congo ni misitu minene mwenye uwezo wa kupigana vizuri na M-23 East Africa ni only jeshi mfu JWTZ
Congo makundi YAPO MENGI tuu, hawaendi kwa ajili ya m23
Kitendo cha wao kuwepo tu ndani ya DRC kumeonesha ushirikiano na mwamko mkubwa wa nchi members wa EAC juu ya kupatikana kwa amani ya kudumu nchini DRC.
PK ajitathmini na uungaji mkono wake kwa M23
Makundi congo YAPO mengi si m23 tuu watapigana na mengine
 
Watu fresh sana yaani.Hiyo picha ya tatu mbona siyo sura za wasouth Sudan zimeka ki FDLR.
Hawa vijana wa Kony,,,,LRA walikua wanakichafua Uganda halafu wanakimbilia kwenye misitu
Screenshot_20221231-203348_Samsung Internet.jpg
ya congo na sudan kusini
 
Tatizo unafiki mwingi

Jk aliwapelekea moto wa JWTZ akafanikiwa kuwasambaratisha kabisa hadi Kagame akaufyata lakini hatukupewa sapoti ya Kimataifa

sasa hivi tumejitoa kabisa hata vikao vya kujadili hao M23 tunapeleka Balozi hata Naibu Katibu Mkuu hatumwi

M23 shida nini siwaweke silaha chini
 
Haujui hata geografia ya ukanda wako! Haujui kama sudan kusini kuna misitu minene inayofanana na ya Congo kwani iko uelekeo mmoja, ?
Naelewa misitu ipo ila hao jamaa ni wazuri zaidi jangwani na (urban) misituni hawajapigana kabisa
 
Mzee anaumwa ahakupenda kabisa aibu ile pale uwanjani anaumwa kwenye mfumo wa mkojo nahisi kama sio ugonjwa fulani mbaya sana kwa wanaume
Basi pole yake ila aache uzembe mbona JK alitoka nduki mpaka U.S. kupata tiba
 
Back
Top Bottom