crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Hii habari nimeipokea kwa shangwe sana.., Ukraine wameurudisha mji wa kheson bila umwagaji mkubwa wa damuWizara ya ulinzi ya urusi imesema majeshi yake yanajiondoa katika mji huo ili kupunguza madhara kwa vikosi vyake na kuokoa maisha ya raia wake.
urusi iliuchukua mji huo kutoka ukraine kupitia kura ya maoni mwezi uliopita ya kujitenga na ukraine.
ukiani haiitambui kura hiyo na imesema itatumia nguvu ya jeshi lake ili kutetea mipaka yake,
source:Rt
Wako mbele zaidi ya mudaItabidi pia majeshi ya ukraine yawe na intelijensia ya kutambua next step ya Russia.
Hivi kherson ziko ngapi??Wizara ya ulinzi ya urusi imesema majeshi yake yanajiondoa katika mji huo ili kupunguza madhara kwa vikosi vyake na kuokoa maisha ya raia wake.
urusi iliuchukua mji huo kutoka ukraine kupitia kura ya maoni mwezi uliopita ya kujitenga na ukraine.
ukiani haiitambui kura hiyo na imesema itatumia nguvu ya jeshi lake ili kutetea mipaka yake,
source:Rt
Endelea jidanganya uone kama utakaa hapo. Kherson yote itachukuliaa tuHapo mvua ya mabomu inakuja......wameyakanyaga .......safisha mji wote anza 1 pesa ya mafuta ipo
Hawajajiondoa Kherson yote MkuuHii habari nimeipokea kwa shangwe sana.., Ukraine wameurudisha mji wa kheson bila umwagaji mkubwa wa damu
""Passioner"" sijui ataficha wapi sura yake
Mzee wa kheson itakuwa ya Russia milele [emoji1787][emoji2][emoji28][emoji12][emoji12] [emoji16][emoji16][emoji2957]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ficha upumbavu wako.., inaonekana una Tabia za ukahaba wewe dadaHa ha ha haaa.
Hao ni viazi aisee
Ficha upumbavu wakoVita inamuumiza Zele.
Ana Kesha kupigania miji yake.
Mwenzake anamuhold na kumdemilitarize polepole.
Hili liko wazi sababu Huko Moscow life goes on. But Ukraine wote wanahaha mgeni yupo ndani yao.
Siku ambazo hesabu za FSB zikihamisha mnara. Vilio vitasikika.
Russia hapigani vita kwa hofu. Just tactics.
Let’s see