Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Status
Not open for further replies.
Tatizo linalojitokeza hapa ni kuwa kuna watu wako anti-CCM, anti-Kikwete na kila kitu serikali ya Tanzania itakachokifanya.

Naam, hata mimi serikali ya Tanzania inaniudhi sana, Kikwete ananitapisha mpaka nataka kutapika maini yangu mwenyewe, lakini ikija kitu cha principles, kitu kimepitishwa na AU, kitu kinawabana secessionist, kitu kinaset precedent ya Waafrika ku take care of their own, who am I to be against such a noble goal?

Mind you, inawezekana kabisa kwa standards zetu ndogo kuna abuses zinafanywa, but they will have to be documented and clearly shown before we jump on any bandwagon.Tusije tukaingia mkenge wa partisan politics hapa JF kwa kuwa watu hawaipendi CCM na Kikwete tu basi wanaipaka matope effort nzima ya AU.

Nasema hivyo huku rekodi yangu ya posti hapa JF ikinishuhudia kama mtu mmoja ninayepaka sana CCM na Kikwete kwa hiyo hamna issue ya pandering au kutetea bila msingi.

Kama kuna mtu ana motives zake other than the AU ideals and charter for territorial integrity and maintaining peace and harmony among member states, that is another matter.

Ni objectivity tu.
 
...inajulikana wazi kuwa tanzania defence force are best in INFANTRY in the whole region[tulipovamia uganda tulikuwa na challange ya jeshi la uganda ambalo kwa wakati huo they had the best AIR FORCE..kenya are with best NAVY]..kwa hiyo sintashangaa kusikia askari wetu anaweza kufa kwa kuteleza bahati mbaya na kutumbukia majini akashiondwa kuogelea..

tangu mwanzo hofu yangu kuu ilikuwa ni ugumu wa kuvamia anjuan kupitia pwani....its so risk...always..hata ukiangalia war tales majeshi ya britain wakati yalipovamia visiwa vya folkland kuvikomboa walipata taabu sana ku land na ilibidi watumie nguvu ya ziada..hata hivyo pamoja na ugumu wa kuvamia visiwa kwa kutumia beach landing..it still remain best option contrary ..to parachutes[kutua kwa miavuli]....
 
Send in the Afro-marines

Mar 19th 2008 | ADDIS ABABA
From The Economist print edition


The African Union gets tough, even if it's not quite Iwo Jima

THE archipelago of Comoros, 300km (186 miles) off the coast of Mozambique, consists of four islands. In 1975 Grande Comore, Mohéli and Anjouan became an independent country, the Union of Comoros. The fourth, Mayotte, stayed French and has prospered as a strategic base and fancy holiday destination. In contrast, the Union of Comoros has fared pathetically, with a score of coups or attempted coups since independence. The hogging of power by Grande Comore, the largest island, led Mohéli and Anjouan to declare independence in 1997. The country was saved only by bringing in a new constitution, giving each island its own president and administration—all for 840,000 impoverished citizens.

More trouble erupted last year when Anjouan's president, Mohamed Bacar, refused to step down after his five-year term; he held an illegal election and claimed a landslide victory. The Comoros' federal president, Ahmed Sambi, disputes the result and says that Mr Bacar is a thug. If and when he is captured, Mr Sambi wants him tried for treason.

The African Union (AU), nervous about secessionist feeling anywhere in Africa, got involved in the affair when Mr Bacar threatened to turn Anjouan into a micro-state. Negotiators shuttled back and forth from Grand Comore to Anjouan, only to be deceived by Mr Bacar, who, say diplomats, promised compromise while digging in.

Earlier this month the AU lost patience. At midweek, an AU military force was assembling for an amphibious assault on Anjouan. Military commanders were confident that a joint force of Tanzanian, Libyan, Senegalese and Sudanese troops would smash Mr Bacar, “killing him if necessary”. The AU hopes that the military initiative will show that the continent is now serious about policing itself. But some wonder why the AU can mobilise resources to save a tiny island in the Indian Ocean, yet refuses to bolster its troops deployed in its embattled mission in Somalia.
 
610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg

Tanzanian soldiers from the African Union patrol in the hills of Anjouan, Comoros, Wednesday, March 26 2008. Most of the capital of the rebel-held island off the southeast coast of Africa was calm on Wednesday, a day after the Comoros government seized control of it, as troops continued to search for the renegade colonel who has been seeking the island's independence.
 
610x.jpg

Tanzanian soldiers from the African Union guard at a hospital in Mutsamudu on March 26, 2008 Mohammed Nedhoim, 42, a suspect of supporting renegade Anjouan leader Mohamed Bacar and who was arrested on March 25, 2008 by the Comoran and African Union troops after firing three rockets at his house. Comoran and African forces on Wednesday battled die-hard supporters of Anjouan's fugitive strongman as the federal authorities pledged a transition government in the Indian Ocean isle by the end of the week.

610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg
 
Baada ya kuangalia picha nyingi za wanajeshi tuangalie na raia kidogo,
610x.jpg

610x.jpg


Wafungwa wa kisiasa baada ya kuachiwa huru
610x.jpg

610x.jpg

610x.jpg


Quick question kuna mtu yoyote anayejua kama wanajeshi wetu walikwenda na kuingia Ikulu ya Anjouan?
610x.jpg
 
nono.jpg
baadhi ya mateka wa wapiganaji wanaomuunga mkono kiongozi aliyejitangazia madaraka Anjouan. Mohamed Bacar wakiwa nchini ya ulinzi wa askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), baada ya kuteka maeneo kadhaa ya kisiwa hicho


source darleo


hapa no, hii sio kazi tuliowatuma wanajeshi yetu. tafadhalini waambieni wahusika wasiiharibu sifa ya taifa letu.


kurejesha demokrasia comoro yes, kuadhibu wanajeshi waliojisalimisha au raia waliomuunga mkono kanal muasi bakari no no tena no
 
Mh kila picha ni Tanzanian soldiers, tutaprove vipi kwamba ni Tanzanian Soldiers na si Sudan Soldiers?
 
So far nobody is talking about any abuses.


Anti-French protests in Comoros
The Comoran army was backed by 1,500 African Union troops
Troop invasion
Police have fired tear gas to disperse hundreds of demonstrators in the Comoran capital, Moroni.

Crowds chanted anti-French slogans near France's embassy after a renegade leader, Colonel Mohammed Bacar, fled to the French-run island of Mayotte.

Col Bacar fled the island of Anjouan after government troops and an African Union force invaded the island.

He has asked France for political asylum, but the Comoran government has asked France to extradite him.

The operation against Col Bacar was launched after he refused to step down as president of Anjouan, and accept the authority of the federal government after a disputed election last year.

The BBC's Jonny Hogg in Moroni says the embassy is being protected by armed Comorian police, keeping the crowd some 200m away.

Anyone who appears to be French is being targeted with one group of young men making throat slitting gestures as they march past whilst others threw stones, our reporter says.

One government official told the BBC "if France is seen to be protecting Mohamed Bacar, God knows what will happen to their representatives here ''.

Amphibious assault

The island of Mayotte is the only one of the Comoros islands to have opted to remain French when the other islands gained independence in 1975 - but it remains a source of contention with both countries claiming sovereignty.



The BBC's Jonny Hogg says Col Bacar's arrival on the island follows reports last week that he had received backing from individuals on Mayotte during the eight-month political stand-off.

The government in the Comoros has expressed disappointment that he was able to flee to Mayotte.

A government spokesman warned that if Col Bacar was not returned to face justice it could cause a diplomatic crisis.

"We have notified France that we want Colonel Mohamed Bacar and all the fugitive rebels to be extradited to Comoros," acting Foreign Affairs Minister Houmadi Abdallah told reporters.

"We reminded the French authorities ... that the international arrest warrants against them are still in effect."

On Wednesday, the Comoros authorities appointed a new transitional leader for Anjouan - the vice-president of the Comoros, Ikililou Dhoinine.

"Ikililou Dhoinine will be the political authority in Anjouan until a transitional government is set up," a government spokesman told the AFP news agency.

Mohammed Desara, the Comoran chief of defence staff, said troops were continuing to pursue elements loyal to Col Bacar and secure the island fully.

It is not known how many people died in the fighting but Mr Desara said it was certain that at least some of Col Bacar's fighters had been killed.

About 600 Comoran and AU troops landed in an amphibious assault as dawn broke on Tuesday.

Residents of the island were pictured greeting the government forces with jubilation as they patrolled the streets.

The Comoros archipelago in the Indian Ocean has had a fractious history since independence from France, experiencing more than 20 coups or attempted coups.

The three main islands of the archipelago - Grand Comore, Moheli and Anjouan - lie 300km (186 miles) off Africa's east coast, north of Madagascar.
Story from BBC NEWS:
 

Anti-French protests in Comoros

The Comoran army was backed by 1,500 African Union troops
Troop invasion
Police have fired tear gas to disperse hundreds of demonstrators in the Comoran capital, Moroni.

Crowds chanted anti-French slogans near France's embassy after a renegade leader, Colonel Mohammed Bacar, fled to the French-run island of Mayotte.

Col Bacar fled the island of Anjouan after government troops and an African Union force invaded the island.

He has asked France for political asylum, but the Comoran government has asked France to extradite him.

The operation against Col Bacar was launched after he refused to step down as president of Anjouan, and accept the authority of the federal government after a disputed election last year.

The BBC's Jonny Hogg in Moroni says the embassy is being protected by armed Comorian police, keeping the crowd some 200m away.

Anyone who appears to be French is being targeted with one group of young men making throat slitting gestures as they march past whilst others threw stones, our reporter says.

One government official told the BBC "if France is seen to be protecting Mohamed Bacar, God knows what will happen to their representatives here ''.

Amphibious assault

The island of Mayotte is the only one of the Comoros islands to have opted to remain French when the other islands gained independence in 1975 - but it remains a source of contention with both countries claiming sovereignty.



The BBC's Jonny Hogg says Col Bacar's arrival on the island follows reports last week that he had received backing from individuals on Mayotte during the eight-month political stand-off.

The government in the Comoros has expressed disappointment that he was able to flee to Mayotte.

A government spokesman warned that if Col Bacar was not returned to face justice it could cause a diplomatic crisis.

"We have notified France that we want Colonel Mohamed Bacar and all the fugitive rebels to be extradited to Comoros," acting Foreign Affairs Minister Houmadi Abdallah told reporters.

"We reminded the French authorities ... that the international arrest warrants against them are still in effect."

On Wednesday, the Comoros authorities appointed a new transitional leader for Anjouan - the vice-president of the Comoros, Ikililou Dhoinine.

"Ikililou Dhoinine will be the political authority in Anjouan until a transitional government is set up," a government spokesman told the AFP news agency.

Mohammed Desara, the Comoran chief of defence staff, said troops were continuing to pursue elements loyal to Col Bacar and secure the island fully.

It is not known how many people died in the fighting but Mr Desara said it was certain that at least some of Col Bacar's fighters had been killed.

About 600 Comoran and AU troops landed in an amphibious assault as dawn broke on Tuesday.

Residents of the island were pictured greeting the government forces with jubilation as they patrolled the streets.

The Comoros archipelago in the Indian Ocean has had a fractious history since independence from France, experiencing more than 20 coups or attempted coups.

The three main islands of the archipelago - Grand Comore, Moheli and Anjouan - lie 300km (186 miles) off Africa's east coast, north of Madagascar.
Story from BBC NEWS:

Thanks Pundit kwa kutuletea hii hapa
hii mimi niliiona..looks like events zinazidi kuunfold..bora Tanzania wasingesema wnashirikiana na France kwenye hii operation but looks like Membe na wenzie had other ideas

huko nyuma nilisema hivi:




UHUSIANO WETU NA FRANCE:

Katika nchi ambaya wananchi wanawachukia wafaransa duniani basi COMORO ni number 1

Serikali ya ufaransa knowingly walikuwa wakimuachia yule DOG OF WAR bwana BOB DENARD kuwaua na kuwabadilishia watawala Comoro sasa raia wa Comoro leo atakisikiaje akisikia kuwa Tanzania na France lao moja kwenye hili?

Situation tuliyonayo itakuja kuwa kama ya majeshi ya India kule Srinagar na Jammu Kashmir ambako majeshi ya India ambayo ni waHINDU wamewakalia kimabavu raia wa Kashmir ambao wengi wao ni WAISLAM sasa hii ndio hali itakavyokuwa sasa hivi tunasherekea lakini kutokana na Sensitivity ya wa Comoro na FRANCE I am sure kuwa sisi tutaonekana kama occupying force kwenye kisiwa kile.
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11018&page=27
 
Pundit wewe unajua sana proba au?au unaapply expectation?kwani na kule kilimanjaro wakisema sasa hatakiwi muislamu kuwa leader hapa,kwasababu wako wachache,utalikubali hilo?na kwani wengi wa waislamu umesaidia nini zidi ya hayo machafuko?kwani hatuwezi pata mtu bora na kiongozi bora toka hao 2%,wewe kakuambia nani,kuwa walio wengi always wanadeliver viongozi bora?mbona unachemsha?kwani CCM inawanachama wengi sana,lakini huoni mafisadi wengi wanatoka huko?wewe vp?unatazama pande zooote au unabwabwaja tuuuuuuu.Mie mtu mzima hunitishi chochote,ninasimamia ukweli man.taaaaaaaaaaaaaaaaaatibu

halafu wewe unasema mufilisi,pumba tupu?mbona huangaliii hizo chenga zenu.hahahahahahahhah,nimewagusaaa palepalepalepale
 
Pundit wewe unajua sana proba au?au unaapply expectation?kwani na kule kilimanjaro wakisema sasa hatakiwi muislamu kuwa leader hapa,kwasababu wako wachache,utalikubali hilo?na kwani wengi wa waislamu umesaidia nini zidi ya hayo machafuko?kwani hatuwezi pata mtu bora na kiongozi bora toka hao 2%,wewe kakuambia nani,kuwa walio wengi always wanadeliver viongozi bora?mbona unachemsha?kwani CCM inawanachama wengi sana,lakini huoni mafisadi wengi wanatoka huko?wewe vp?unatazama pande zooote au unabwabwaja tuuuuuuu.Mie mtu mzima hunitishi chochote,ninasimamia ukweli man.taaaaaaaaaaaaaaaaaatibu

halafu wewe unasema mufilisi,pumba tupu?mbona huangaliii hizo chenga zenu.hahahahahahahhah,nimewagusaaa palepalepalepale


Probability niliyoongelea hapo ni kuwa katika nchi yenye wakristo 2% itakuwa vigumu kumpata mkristo katika sehemu yoyote, kuanzia nesi, kichaa mpaka rais.

Kama unabisha chukua beads 100, paka 98 rangi nyekundu halafu mbili rangi bluu.

Halafu ziweke zote 100 katika mfuko halafu zichanganye, fumba macho na jaribu kuchukua at random uone kama utapata nyekundu au ya bluu in the first draw.

Sample space ikiwa ndogo hata probability ya kupata chochote inakuwa ndogo.

Simple probability.
 
Kwa wale waliokuwa wanajiuliza role ya Wafaransa kwenye hii mission nadhani majibu yameshapatikana...

358x283.jpg

Mohamed Bacar(katikati) akipanda ndege ya jeshi la Ufaransa kuelekea Reunion ambako atahojiwa kwa nini ameingia Mayotte kinyume cha sheria akiwa na silaha, wakati huo huo wakifikiria kumpa hifadhi ya kisiasa....patamu hapo!!!

610x.jpg

610x.jpg

Comoran troops display for the press boxes of ammunition which were supposedly sent by France to renegade Anjouan leader Mohamed Bacar, in Mutsamudu the capital of Anjouan on 27 March 2008.
 
Kwa Mujibu wa Membe, kazi ya kuikomboa Anjouan imekwisha, na serikali ya Comoro inakabidhiwa rasmi leo.
 
Kwa Mujibu wa Membe, kazi ya kuikomboa Anjouan imekwisha, na serikali ya Comoro inakabidhiwa rasmi leo.

He he Kikwete atakwenda au Membe...?asimame mbele ya banner kubwa imeandikwa Mission Accomplished....
Hivi hii Operation nayo itaingia kwenye historia ya Op fupi za kijeshi duniani?
 
this is what I'm talking about! Hongera wapiganaji wetu.. now what is the exit strategy?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom