luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
SawasawaMie mura wivu Sina Tena huwa nawapenda mangi wanavyopambana sema ishu iyo hapo inawamaliza Sana.
Mbona wamesoma na Wana Mali like crdb namie Nina akaunti huko, precision air, wafanyabiashara wakubwa Sana ama ni uwongo.
Ukienda chuoni vijana wengi darasani ni watokea Kilimanjaro Ila Sasa isiwe sababu ya kuwatukana ndugu zako.
Kama u mwerevu unamwambia Cha kufanya sio unamcheka na hii dunia hatukai milele mangi.
Hatuwez baguana tunapendana kama wavuta sigaraUpo sahihi 100% kama wanakupinga ni kwa interests zao ila ukweli umeusema mkuu.
Dhambi ya ubaguzi haina ukomo mpaka pale utakapobaki peke ako!
Wachaga wanaonekana wamoja huku mikoani lakini kwao Kilimanjaro wanabaguana sana, kuna wale wa Kishumundu ndo hawana kabisa thamani wanabaguliwa hatari.
Wachaga acheni ubaguzi!
Ndo Mana ambaye Hana hela huwa haendi kwao Mana Hana Cha kuwavimbia wenzake so watatumwa maji ya kunawisha wenzake.Lengo la kufanya hvyo ni ku motivate wengine watafute,ndio maana uchagani kila mtu anafanya bidii ili asijechekwa kwamba Hana kitu
Mbona huku Arusha ipo mkuu?85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Wakishumundu ni wanatania sana kwanza wanavua viatu wavuke roads.Upo sahihi 100% kama wanakupinga ni kwa interests zao ila ukweli umeusema mkuu.
Dhambi ya ubaguzi haina ukomo mpaka pale utakapobaki peke ako!
Wachaga wanaonekana wamoja huku mikoani lakini kwao Kilimanjaro wanabaguana sana, kuna wale wa Kishumundu ndo hawana kabisa thamani wanabaguliwa hatari.
Wachaga acheni ubaguzi!
[emoji28][emoji28][emoji28] unafurahisha unavyotetea wachagaKilimanjaro express chombo ya hewa SCANIA MARCO POLO YA BEI MBAYA
Hivi wengine nao wana maduka au ni wanauza miili tuJamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka.
85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Hill yupo vizuri mi nikinywa uhai ntaishia kukojoa tu na kuwa thirsty again ila hill yanakaa mwilini na ni less salty kidogo na afya. Maji yanatakiwa yawe mepesiMaji ya Kilimanjaro yalianza kuchakachuliwa Tangu mzee Mengi alipofariki Yalianza kuwa na chumvi balaa! Kwa kweli na ukweli toka Moyoni Hill water wana maji Matamu sana!!Napenda hill water kuliko maji yoyote yale.
Ndege ya chini mwnz-arushaRuka kama Mangi! Kutwa kudangi dangi! Eeh nimewachapa kidudee! Hakichomoki kidudee! Wanatapatapa 🤝
Uhai 1.5L 500 tuHill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Ruka kama Mangi! Kutwa kudangi dangi! Eeh nimewachapa kidudee! Hakichomoki kidudee! Wanatapatapa [emoji1666]
Hill yupo vizuri mi nikinywa uhai ntaishia kukojoa tu na kuwa thirsty again ila hill yanakaa mwilini na ni less salty kidogo na afya. Maji yanatakiwa yawe mepesi
Khaa; umesema TANZANIA!? We jamaa bwanaAfya ndio inauzika sana nenda kwa wauza maji wenye maduka wakwambie mimi nauza maji afya ndio inayoongoza Tanzania sio Dar tu
Afya ndio inauzika sana nenda kwa wauza maji wenye maduka wakwambie mimi nauza maji afya ndio inayoongoza Tanzania sio Dar tu
K Lin anasemaje?Kila kitu huja na kuondoka
Dew drop Kwa dar hayana soko, ni maji ambayo nilikuwa nayapenda Sana kutumia na yanauzika Sana mikoa ya katavi,Rukwa,tabora na niliacha yameanza kuingia Morogoro miaka ya 2016 sijui Kwa sasa itakuajeDew drop je?
Mbona ulikuwa unamtukana magufuli akijenga chato?Na wewe siuwe una nunua kwa kabila lako acha kulalamika by the way charity begins at home, usipo myungisha ndugu yako huo ni uzwazwa
Ipo lakini sio kwa kiasi kile ilivo kwa dar es salaam yaani Dar kila leo na kila utakacho ni pesa.Huijui Arusha Vizuri Mkuu!! Biashara ya miguu ya kuku na utumbo ipo sana, Ingia Ngarenaro oysterbay barabarani kabisa utaikuta, sogea matejoo ktkt pale utaikuta Tena Wananogesha na vindizi vya kukaanga.