SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #121
Sasa hivi ni yote nimachungu halafu nawaambia wanasema nawivu nataka kuuza maji yangu natafuta wateja kwa kuwaharibiaMaji ya Kilimanjaro yanauzwa Dar na yanayouzwa Moshi/Arusha yana tofauti kubwa
Maji ya Kilimanjaro hapa Dar hayana Ladha