Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

UKWELI NI HUU
-Maji ya Kilimanjaro yanayozalishwa Moshi kwenye kiwanda cha Bonite ndiyo "natural" na yenye ladha ileile ya zamani na haya yanauzwa au yanapatikana hasa mikoa ya kaskazini .Maji mengine ya Kilimanjaro yanazalishwa na kiwanda cha CocaCola apa Dar (yaani wanatumia formula ileile kuzalisha na ndiyo hayo yenye chumvi na ladha tofauti).Haya yanayozalishwa Dar ndiyo yanasambazwa kwa wingi huko mikoani (ukitoa mikoa ya kaskazini)
Ina maana lab yao hawana quality control akaona hii tofauti kubwa ya ladha?

Hill wapo Bagamoyo Mapinga tu hapo kunywa maji yao uone taste yake nzuri.
 
unaweza walaumu kumbe kuna mjasiriamali ndani ndani kafungua kiwanda kwa lebo ya klm
 
Jana nimemimina maji ya kilimanjaro kwenye kikombe nmeona yanatoa mapovu......nilistuka sana nikajisemea apa kuna kitu hakipo sawaa,nalifanyia uchunguzi zaidi.
 
Kwa kifupi ni kwamba yanalalamikiwa sana, hasa yale madogo ya nusu lita. Kwa sasa watu wengi wanayakwepa.

Ni vema wahusika wakachukua hatua za haraka kabla hayajakosa soko kabisa.
 
@sweetcandy badala ya kuharibu biashara za watu bila sababu ya msingi ungeatumia ya Mo tu. Kwani lazima unywe kilimanjaro.?
Waambie waliokutuma Kilimanjaro hawataiweza.
🤣🤣🤣 mie sio jini na pia napendaga kusema ukweli so sina muda wakudanganya mwezako kilimanjaro tokea nimezaliwa ndio maji yangu
 
Kati ya maji ambayo ni mazuri na natural nchini ni Kilimanjaro. Acha kuongopea watu ili uuze maji yako ambayo hayana viwwngo
Niuze maji yapi mie siwezi uza maji hapa tanzania sorry . Niache kufanya mambo ya maana nije nikauze maji hapana
 
Watu wa Hill water mna matatizo mengi sana. Huwezi kukua kwa kumkandamiza mwenzako. Utafeli tu
Okay , mkiua watu zaidi ya mmoja kwa chemicali ndio mtaelewa punguzeni madawa kwenye maji ya kilimanjaro wstu wengi watagundua na mtaachwa namaji yenu
 
UKWELI NI HUU
-Maji ya Kilimanjaro yanayozalishwa Moshi kwenye kiwanda cha Bonite ndiyo "natural" na yenye ladha ileile ya zamani na haya yanauzwa au yanapatikana hasa mikoa ya kaskazini .Maji mengine ya Kilimanjaro yanazalishwa na kiwanda cha CocaCola apa Dar (yaani wanatumia formula ileile kuzalisha na ndiyo hayo yenye chumvi na ladha tofauti).Haya yanayozalishwa Dar ndiyo yanasambazwa kwa wingi huko mikoani (ukitoa mikoa ya kaskazini)
Wameanza kusambaza hata huku yaani nimepata hadi shida kwa haya maji
 
Okay , mkiua watu zaidi ya mmoja kwa chemicali ndio mtaelewa punguzeni madawa kwenye maji ya kilimanjaro wstu wengi watagundua na mtaachwa namaji yenu
Kaka vipi mbona umepanick? Kila tone la maji ya Kilimanjaro linapimwa na idara ya uhakiki wa ubora. Siyo kama maji yenu. Jipambanieni, acheni bidhaa ambayo imefikia ubora wa kimataifa
 
Kaka vipi mbona umepanick? Kila tone la maji ya Kilimanjaro linapimwa na idara ya uhakiki wa ubora. Siyo kama maji yenu. Jipambanieni, acheni bidhaa ambayo imefikia ubora wa kimataifa
Watanzania akili ni wachache wanayo , mkiambiwa kuna tatizo jirekebisheni sio mkimbilie kusema huu si ushindani malalamiko yametokea unapeleka idara husika sio unapigana na wateja . Tokea 2000 mie mteja wenu hadi leo haya maji sijanywa leo . So ujinga hebu acheni tatueni matatizo
 
Maji ya Kilimanjaro yanauzwa Dar na yanayouzwa Moshi/Arusha yana tofauti kubwa

Maji ya Kilimanjaro hapa Dar hayana Ladha
 
Back
Top Bottom