Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Mimi hata ya mferejini nakunywa na siumwi kituTumbo langu limekomaa hakuna maji ambayo sinywi.
Nakunywa maji ya mto,kisima,bwawa tena bila kuchemsha na hakuna kitu napata zaidi ya afya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata ya mferejini nakunywa na siumwi kituTumbo langu limekomaa hakuna maji ambayo sinywi.
Nakunywa maji ya mto,kisima,bwawa tena bila kuchemsha na hakuna kitu napata zaidi ya afya
Mimi hata ya mferejini nakunywa na siumwi kitu
Hata UTI sina mkuu sembuse typhoid... i mean ikitokea mazngira hayaruhusu kupata maji safi nakunywaga yoyote tuYa mfereji inategemea na mazingira yenyewe, sio bongo. Nenda ukapime Mrs lissu.
Kipindi cha corona walikuja baadhi ya viumbe humu kujisifu corona inadunda kwa mweusi, mbona ilikua inatafuna kama haina akiri, huku nilipo imeondoa sana wachagga.
Hata UTI sina mkuu sembuse typhoid... i mean ikitokea mazngira hayaruhusu kupata maji safi nakunywaga yoyote tu
[emoji16] Kumbe wewe ni mwanamke.Kwangu mimi naona ya kuchemsha ikiwa yataandaliwa na kuhifadhiwa vizuri ni salama zaidi kuliko ya chupa ambayo purification ama tuseme treatment yake inahusisha mambo mengi kitu ambacho naona sio salama sana.
N.B mmewangu hata umdanganyeje ye anakunywa ya chupa tu
Una minyoo sugu tuTumbo langu limekomaa hakuna maji ambayo sinywi.
Nakunywa maji ya mto,kisima,bwawa tena bila kuchemsha na hakuna kitu napata zaidi ya afya