Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyanzo vyetu vya umeme ni vya enzi za ujima tunategemea kudra, nadhani gas yetu ni ya urembo tu.
NB: Kidumu chama cha mafisadi.
Naona team makamba mkiendelea kutuona watanzania wote kama ni wajinga kwa miaka yote tangia UHURU mpaka leo.
Kila siku Makamba anajiwekea uhalali wa mazingira ya kutupiga na miradi ingine ya kina Symbion! Au Richmond tena!
ya kunye-shewa na mvuaKwa mabadiliko haya ya Tania nchi, Je? Bwawa la Nyerere huko Selous litajaa maji kweli, alafu baada ya muda gani?.
Mwenye data za kitaalam atutoe wasiwa isijekuwa tunafanya politik huku hela inaenda na upepo.
Vinginevyo tujiimarishe kwenye gesi na makaa ya mawe pamoja na renewable energies bila kujali kelele za COP26.
Tujixoeze kuwa wakweli hata kama tunaona ukweli haupendezi.
Angalia Mabehewa ya SGR ya Kenya na Ethiopia.Kwa yale mabehewa lazma watu wastuke
Bwawa lazima likamilikeKwa mabadiliko haya ya Tania nchi, Je? Bwawa la Nyerere huko Selous litajaa maji kweli, alafu baada ya muda gani?.
Mwenye data za kitaalam atutoe wasiwa isijekuwa tunafanya politik huku hela inaenda na upepo.
Vinginevyo tujiimarishe kwenye gesi na makaa ya mawe pamoja na renewable energies bila kujali kelele za COP26.
Tujixoeze kuwa wakweli hata kama tunaona ukweli haupendezi.
Kuna yule mmoja Mungu alimchukua baada ya kutupiga zaidi ya 1.5tr. Tanzania pagumu sanaLijae wapi wakati "wale wahuni" wapi njiani kupiga esraw nyingine!
baada ya Mungu kumchukua hela mlizukuta au alinunua visheti zote???Kuna yule mmoja Mungu alimchukua baada ya kutupiga zaidi ya 1.5tr. Tanzania pagumu sana
Tuzikute wapi, yule jamaa alikuwa hatari sana kwa usalama na ustawi wa Taifa letubaada ya Mungu kumchukua hela mlizukuta au alinunua visheti zote???
mhhh hata ktk acc zake hamkukuta kitu!!sasa aliibaje??Tuzikute wapi, yule jamaa alikuwa hatari sana kwa usalama na ustawi wa Taifa letu
Naona ulaji wako uliobaniwa awamu ya too Sasa umerudishiwaSasa hivi kuna tabia imeibuka humu jf ya uchuro dhidi ya Taifa letu tuacheni hizo ndugu zangu.