Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Niliwahi kusema hapa kwamba unaweza kumuuliza Lissu swali kabla ya kulijibu swali akaanza kuchambua uhalali wa swali kwanza.
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
kwahiyo huyo tapeli anataka kuulizwa maswali kulingana na anavyotaka yeye right?

kwamba akiulizwa swali tofauti na majibu ya marking scheme aloiandaa mfukoni, itakua soo sana, right?🐒
 
Niliwahi kusema hapa kwamba unaweza kumuuliza Lissu swali kabla ya kulijibu swali akaanza kuchambua uhalali wa swali kwanza.
Tatizo ni kwamba anakua ameaandaa marking scheme kabisa ya majibu na maswali apendayo kuulizwa,

ukimuuliza kivingine tu anapoteamo kabisa na ndipo tone yake inabadilika na ubishi unapandishwa mori 🐒
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
We jamaa una ugonjwa wa akili. Unahitaji tiba ama utaokota makopo.
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Kiongozi, watanzania tuna shida sana. Balile amejitahidi sana kuwa professional anajitahidi asiegemee upande wa chama chake ili kutengeneza credibility ya mahojiano, kumbe tena sisi tunataka alumbane?

Kwa maoni yangu amejitahidi kuwa fair, maswali mengi ameuliza yako objective ili kuset tone pamoja na kumpa uwanja Mhe TAL kuuza sera yake na chama chake. Ni maswali ambayo baadhi ya wananchi na wafuasi wanajiuliuza.

What else did we expect kutoka kwa mwanahabari? Je tulitaka amshinde TAL? Then What?
 
kwahiyo huyo tapeli anataka kuulizwa maswali kulingana na anavyotaka yeye right?

kwamba akiulizwa swali tofauti na majibu ya marking scheme aloiandaa mfukoni, itakua soo sana, right?🐒
Unaweza kupewa zawadi, ukituthibitishia utapeli wa Lissu hata wa kubahatisha. Vingeinevyo wewe unayemshambulia utabeba sifa hizo za utapeli, chuki na roho mbaya.
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Pascal Mayalla kamuonea huruma. Kamwambia Na we Balile uwe unaita msaada usaidiwe😀😀😀
 
Kiongozi, watanzania tuna shida sana. Balile amejitahidi sana kuwa professional anajitahidi asiegemee upande wa chama chake ili kutengeneza credibility ya mahojiano, kumbe tena sisi tunataka alumbane?

Kwa maoni yangu amejitahidi kuwa fair, maswali mengi ameuliza yako objective ili kuset tone pamoja na kumpa uwanja Mhe TAL kuuza sera yake na chama chake. Ni maswali ambayo baadhi ya wananchi na wafuasi wanajiuliuza.

What else did we expect kutoka kwa mwanahabari? Je tulitaka amshinde TAL? Then What?
Ni kweli kwa sehemu nyingi ametimiza wajibu wake kama Moderator.

Na hata baadhi ya maswali au majibu anayatoa sio kwa sababu hajui. Bali kustimulate mjadala kutoka kwa main Speaker na kuclear doubts kwa wasikilizaji wengine
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Mtoa mada kuwa makini na hy bangi unapouziwa, itakuwa wanachanganya na makapi.
Hayo mambo ya tundu lisu anayoongea mtatekeleza lini...

Kubali tu kuna mzungu alikuwa anayaNOTE hapo ataenda kutekeleza kwenye nchi yake...

Ikiwa amerika itapendeza ni aina nyingine ya utumwa😂😂😂😂Tunachukiana bure Utumwa uliisha lini😂😂😂💊💊💊💊💊💊💊💊💊💉💉💉💉💉💉💉usiku💉💉💉💊💊💊
 
Back
Top Bottom