Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

Majibizano kati ya Balile na Lissu: Nini maoni yako?

Kiongozi, watanzania tuna shida sana. Balile amejitahidi sana kuwa professional anajitahidi asiegemee upande wa chama chake ili kutengeneza credibility ya mahojiano, kumbe tena sisi tunataka alumbane?

Kwa maoni yangu amejitahidi kuwa fair, maswali mengi ameuliza yako objective ili kuset tone pamoja na kumpa uwanja Mhe TAL kuuza sera yake na chama chake. Ni maswali ambayo baadhi ya wananchi na wafuasi wanajiuliuza.

What else did we expect kutoka kwa mwanahabari? Je tulitaka amshinde TAL? Then What?
Umenena vema,mleta Uzi kauleta kishabiki.
 
Safi list hao vibaraka wa ccm.Vikao wala kuongea kwa chadema hawaoneshi ila vya ccm hata kama ni vya chumbani wanaonesha
 
Tatizo ni kwamba anakua ameaandaa marking scheme kabisa ya majibu na maswali apendayo kuulizwa,

ukimuuliza kivingine tu anapoteamo kabisa na ndipo tone yake inabadilika na ubishi unapandishwa mori 🐒

Huyu dawa anachekesha sana tulisha sema hapa huwezi mshinda Lissu kwenye hoja . Sasa machawa wanavuliwa nguo
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Lissu hapendi kuulizwa maswali magumu, kwa kifupi alichofanya ni kumkatisha katisha Balile na kutoa maelezo nje ya maswali ya Balile. Nimeshtushwa sana kama akiwa mwenyekiti wa chama hapendi kuulizwa akiwa kiowa rais itakuaje? Jamaa ni dikteta
 
Lissu hapendi kuulizwa maswali magumu, kwa kifupi alichofanya ni kumkatisha katisha Balile na kutoa maelezo nje ya maswali ya Balile. Nimeshtushwa sana kama akiwa mwenyekiti wa chama hapendi kuulizwa akiwa kiowa rais itakuaje? Jamaa ni dikteta
Hapana.
Mbona wamejibu maswali yote ya msingi kama hawataki kuulizwa maswali?

Walikuwa wanauliza maswali ya kijinga na mengine hata bila kuwa na data sahihi!

Ndo mana Lissu akawa anamfundisha kabisa. We unajua katiba inasema hivi alafu unaisitiza mabadililo ya Sheria. Tangu lini Sheria ikawa juu ya Katiba?

Hapo mwandishi unajionesha kabisa kuwa we ni kilaza.
 
Niliwahi kusema hapa kwamba unaweza kumuuliza Lissu swali kabla ya kulijibu swali akaanza kuchambua uhalali wa swali kwanza.
Lissu anapenda sana kusoma vitabu Kuongeza ufaham na akili ,ni kama mch.Msigwa ,,mtu anayeweza kudeal na Lissu ni Msigwa walau ,,ila kina Nape,makonda, Makala,au Babu yetu Wassira ni uongo
 
Mawazo ya Heche, Tundu Lisu na Mnyika ukimuuzia mzungu anaweza kukupa €330,000,000 naenda zangu kuyauza fasta

👑👑👑👑utumwa wa dhahili👑👑👑👑Hayaji kutekelezwa👑👑

Hayo mambo ya tundu lisu anayoongea mtatekeleza lini...

Kubali tu kuna mzungu alikuwa anayaNOTE hapo ataenda kutekeleza kwenye nchi yake...

Ikiwa amerika itapendeza ni aina nyingine ya utumwa😂😂😂😂Tunachukiana bure Utumwa uliisha lini😂😂😂💊💊💊💊💊💊💊💊💊💉💉💉💉💉💉💉usiku💉💉💉💊💊💊
 
Kiongozi, watanzania tuna shida sana. Balile amejitahidi sana kuwa professional anajitahidi asiegemee upande wa chama chake ili kutengeneza credibility ya mahojiano, kumbe tena sisi tunataka alumbane?

Kwa maoni yangu amejitahidi kuwa fair, maswali mengi ameuliza yako objective ili kuset tone pamoja na kumpa uwanja Mhe TAL kuuza sera yake na chama chake. Ni maswali ambayo baadhi ya wananchi na wafuasi wanajiuliuza.

What else did we expect kutoka kwa mwanahabari? Je tulitaka amshinde TAL? Then What?
Mkuu Lord Denning ni mfuasi wa TL kakimbilia mbio humu kuleta ushabiki.
 
Hapana.
Mbona wamejibu maswali yote ya msingi kama hawataki kuulizwa maswali?

Walikuwa wanauliza maswali ya kijinga na mengine hata bila kuwa na data sahihi!

Ndo mana Lissu akawa anamfundisha kabisa. We unajua katiba inasema hivi alafu unaisitiza mabadililo ya Sheria. Tangu lini Sheria ikawa juu ya Katiba?

Hapo mwandishi unajionesha kabisa kuwa we ni kilaza.
Kiongozi,

Hizi tafsiri siyo sahihi, Ameulizwa maswali objective sana, kapewa muda wa kuweka hoja zake vizuri (kumbuka lissu ni mjenga hoja mzuri) maana yake maswali haya yatamsaidia zaidi kuisogeza no reform vizuri zaidi kwa wananchi. Sasa ulitaka Balile amhoji kivipi zaidi. Bahati mbaya hata Mhe TAL kuna muda alitaka kujifany smart zaidi (jambo ambalo linajulikana kuwa yuko smart) kama ambavyo wewe unafanya kosa hilo. Kumbuka politcs is about winning all groups na bahati mbaya hao smart ni wachache sana. Kundi kubwa ni la kati na hawana shida na getting facts right.

Kwa maoni yangu nafikiri balile ametenda haki. Hizi ndio platforms muhimu, mkiwabagaza hivi wanahabari you are missing a huge opprtunity.
 
kwahiyo huyo tapeli anataka kuulizwa maswali kulingana na anavyotaka yeye right?

kwamba akiulizwa swali tofauti na majibu ya marking scheme aloiandaa mfukoni, itakua soo sana, right?🐒
Nawewe nadhani uchawa ni mwingi kichwani hivi kama mtu anaulizwa kwa mfano uhalali wa kikatiba au kisheria uko wapi pale ambapo kwa mf. Idadi ya uwakulishi mbunge Moja anachaguliwa na wapiga kura laki nne huku bara halafu kwa idadi kama hiyo wanawakilishwa na wabunge hamsini Sasa Mh.lisu anasema kisheria kilichotakiwa ni uwiano siyo uwakulishi wa nchi na nchi hapa akaenda mbali kuwa hakuna uwiano hata huku bara akatoa mf.wa mkoa wa Dsm na mikoa mwingine. Sasa Bwana balile anajaribu kutoka Lisu kwenye hoja kwa kumuuliza chadema Ina sera Kani juu ya serikali mbili au serikali ngapi wanasimamia,Sasa Lisu anamwanbia hoja iliyoko ni mfumo wa uchaguzi na kwamba kuhusu Hilo asubiri atamwita siku nyingine hivyo Lisu Yuko stable.
 
Kwahy mhariri wa habari hawezi kuhariri maswali 😂
 
Nawewe nadhani uchawa ni mwingi kichwani hivi kama mtu anaulizwa kwa mfano uhalali wa kikatiba au kisheria uko wapi pale ambapo kwa mf. Idadi ya uwakulishi mbunge Moja anachaguliwa na wapiga kura laki nne huku bara halafu kwa idadi kama hiyo wanawakilishwa na wabunge hamsini Sasa Mh.lisu anasema kisheria kilichotakiwa ni uwiano siyo uwakulishi wa nchi na nchi hapa akaenda mbali kuwa hakuna uwiano hata huku bara akatoa mf.wa mkoa wa Dsm na mikoa mwingine. Sasa Bwana balile anajaribu kutoka Lisu kwenye hoja kwa kumuuliza chadema Ina sera Kani juu ya serikali mbili au serikali ngapi wanasimamia,Sasa Lisu anamwanbia hoja iliyoko ni mfumo wa uchaguzi na kwamba kuhusu Hilo asubiri atamwita siku nyingine hivyo Lisu Yuko stable.
unaustable gani hadi anakataa kuulizwa swali kadiri aonavyo muandishi, mpka analazimisha uulizwe kulingana na marking scheme ya majibu ulonayo?

mtu anababaika hana majibu ya maswali magumu, mwingine anakurupuka ati muandishi anapelekeshwa na aneastahili kujibu maswali 🐒
 
Huyu dawa anachekesha sana tulisha sema hapa huwezi mshinda Lissu kwenye hoja . Sasa machawa wanavuliwa nguo
yaani hapo mashindano ya mbingu na ardhi yanatoka wapi kwa mfano gentleman?

yaani unahojiwa na huku imejipanga kushindana? kivipi sasa?🤣

ni muhimu kujibu maswali kwa umahiri bila kua na marking scheme ambayo muuliza swali akienda tofaut na majibu yako unaanza kumrejesha aulize swali kulingana na majibu ya kwenye marking scheme 🐒
 
unaustable gani hadi anakataa kuulizwa swali kadiri aonavyo muandishi, mpka analazimisha uulizwe kulingana na marking scheme ya majibu ulonayo?

mtu anababaika hana majibu ya maswali magumu, mwingine anakurupuka ati muandishi anapelekeshwa na aneastahili kujibu maswali 🐒
Inawezekana kabisa ukiwa m.kiti kikao chako kitakoka baada ya siku Wala siyo masaa, hivi wewe unaweza ukawa unafindisha somo la kidato Cha kwanza halafu wakati huohuo unaendelea na masomo ya chuo kikuu kwa wanafunzi hao hao? Hebu same time fikiria rasilimali muda na umuhimu wa kutoka elimu katika jambo ambalo ulikusudia kulielewesha.Na Mimi naamini hakuna jambo ambalo Lisu Hana majibu nalo na msimamo wake unajulikana kuhusu muundo wa serikali na hata wewe unakumbuka rasimu ya jaji Warioba wananchi wengine walisema nini.sasa kitendo Cha Balile kutaka kuchanganya mada alilikataa Mh.Lisu ana akamwambia akitaka hili atawaita Tena wanadili that's over.
 
yaani hapo mashindano ya mbingu na ardhi yanatoka wapi kwa mfano gentleman?

yaani unahojiwa na huku imejipanga kushindana? kivipi sasa?🤣

ni muhimu kujibu maswali kwa umahiri bila kua na marking scheme ambayo muuliza swali akienda tofaut na majibu yako unaanza kumrejesha aulize swali kulingana na majibu ya kwenye marking scheme 🐒

Wewe si CCM mbona humuongelei Wasira unashinda hapa kuongelea Chadema chama ambacho kimekufa😂🤦🏾‍♂️
 
Chadema wakati mwingine huwa wanachekesha sana, wako kama watoto wa chekechea mambo yao. Unaweza ukakutana na bonge la Uzi, ikifungua humo ndani unakutana na shangwe la wanachadema wote wa jf wakifurahi na kushangilia kwa nguvu eti kiongozi mmoja wa ccm kakohoa na kutema kohozi......yuck!!!!
 
Naangalia kikao cha Jukwaa la Wahariri na Lissu.

Ushauri tu, kama kuna mtu anaweza kwenda kumtoa Balile akamtoe pale. Anapelekwa na kuchezeshwa sere na Lissu kama Mwanasesere🤣🤣🤣

Yaaani Lissu anamwelekeza hadi kuhusu maswali aliyouliza kuwa hayako sahihi!🤣🤣🤣

Niliwaambia humu. Mkitaka kumuhoji Lissu muwe mnajipanga na kusoma kweli. Oneni sasa mnahadhirika hadi mbele ya watoto wenu.

Muwe na Jumapili njema
Ramadhan Mubarak!
Hawajajifunza kwa yule kanjanja wa clouds uvccm alivyotokwa jasho siku ile, lisu sio wa kwenda kwake mzimamzima, balile akajikague pichu lake lisiwe limebeba choo baada ya mkutano.
 
Back
Top Bottom