Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Narudia tena umejaa utoto kama hao wapuuzi wenzio!!Tatizo lako unadhani kila anaye ingia JF anaingia kufanya ngonjera, ndiyo maana unajumuiasha watu bila kujuwa huyo unayemhusisha na sifa hizo anao msimamo gani. Hata kuelewa nilicho kudokeza hapo juu unashindwa, badala yake unarukia "utoto mwingi" bila hata ya kumbukumbu yoyote juu ya huyo unaye mjibu.