Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Yaani Mimi nimefurahi sana Balile kuchezeshwa hivyo. Lissu ni mhuni, Mropokaji na Kichaa. Sasa kama una akili timamu unawezaje kuhojiana na mtu kama huyo? Kiherehere chake Balile kimemponza.
Wewe mtoto taahira, usidhani humuwapowatu wanaofanana na wewe. Waambie wazazi wakupeleke hospitali zinazowasaidia watoto wenye utindio wa ubongo, inaweza kukusaidia kiasi.
Pole sana kwa hayo maradhi ya akili.