Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Wacha wafu wazikane,tunaenda Darisalama kumpokea Lissu.
Kwataarifa yako Singida mabasi ya kesho yamejaa hakuna nafasi.
Watu wanachangiama magari binafsi kwenda Dar kumpokea Mteule wa Mungu
Haitakuwa busara kipindi hiki Cha msiba
 
Well, mi ni pro-Magufuli kindakindaki.

Ila Lissu akirudi halafu serikali imdhuru au imkamate au imbugudhi kwa namna mmoja au nyingine nitawashangaa sana dola na nikiri wazi hii itatia doa image ya Magufuli niliyonayo kwake.

Kisiasa. Huwa Vice Versa mkuu. Siku Zote swali. Ni Nani atafaidika. So acheni maneno mengi. Hawa wanachadema. Ndo wanaanza palilia ouvu. Vitu haviwezi kuwa rahisi hivyo.
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake, bali pia yatakuwa ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie, ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Lazaro Nyaladu mbele kwa mbele
 
Well, mi ni pro-Magufuli kindakindaki.

Ila Lissu akirudi halafu serikali imdhuru au imkamate au imbugudhi kwa namna mmoja au nyingine nitawashangaa sana dola na nikiri wazi hii itatia doa image ya Magufuli niliyonayo kwake.
Kuna amri kibao za mahakama za kukamatwa kwake kwa kesi kadhaa alizonazo. Na wadhamini wa baadhi ya kesi zake walishaomba akamatwe kitambo ili wajitoe kwenye udhamini, ikashindikana kwakuwa hakuweza kukamatwa. Hawa wadhamini waliweka mali zao rehani na ni ndugu zake, hivyo walikuwa wanakwenda kutaifishiwa mali zao maana waliyemdhamini hapatikani.
Usifikiri Lisu anarudi sababu ya siasa. Watu wana nyumba wanapigania zisitaifishwe. Hivyo jiandae kisaikolojia.
 
Lisu hana hekima hiyo eti azuie watu wasimpokee kwa maandamano.


Kwanza hao wanaompokea kwa maandamano ni kina nani?

Watu wamepigwa na kushuka kwa uchumi kwa sababu ya covid 19,Vitisho vya polisi kuwaweka ndani,na hofu ya ugonjwa bado ipo,wanawezaje kuandamana?
We jamaa nani kasema tunaandamana,,,sisi hatuandamani bali Tunaenda kumpokea mpendwa wetu
 
Mkuu huu
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.
Mkuu huu Uzi umeandika wewe peke yako, Ni vizuri ukatumia nafsi yako pekeyako. Ulitakiwa uandike upo busy na maombolezo ya Rais Mstaau Mkapa.
 
Kama haogopi kwanini ameomba kulindwa? Kwanini anjisemesha semesha ili watu wamsikie?
Ukweli ni kwamba anahofia kifo pia kwa sasa hanapesa za kuendelea kuishi huko. Ina maana hana namna nyingine zaidi ya kurudi.
Kwani Tz kuna ugonjwa siku hizi kua mtu akija basi ana kufa?
Je ,ni kua kuna mipango ya kumuua?
 
Nakuapia Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wa Eliya, Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo. Lissu atafika salama na Atagombea urais kwa uhuru na amani tele.

Baba wa Mbinguni aendelee kumlinda kwa Sifa na Utukufu wa Jina lake.

Kwa nyongeza ni maandishi ya Isaiah 41:10 yanayosema: "Do not fear, for I am with you; Do not anxiously look about you, for I am your God.
I will strengthen you, surely I will help you, Surely I will uphold you with My righteous right hand".
 
Kwa nyongeza ni maandishi ya Isaiah 41:10 yanayosema: "Do not fear, for I am with you; Do not anxiously look about you, for I am your God.
I will strengthen you, surely I will help you, Surely I will uphold you with My righteous right hand".
Amen!
 
Jambo la muhimu ni kuendelea kufuata maelekezo ya wataalamu ikiwa ni pamoja na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pia msisahau na barakoa sehemu zenye mikusanyiko!
 
Kwa Ushauri wangu!!
Lisu angekadili na uongozi wa Chadema na kufikia Muafaka kuwa wasifanye shamra shamra za mapokezi kwa sababu ya Kuheshimu Uafrika wetu wakati huu wa Msiba mkubwa wa Kitaifa.

Nafikiri Lisu angesema mwenyewe kuwa anawaomba watanzania waendelee na Maombolezo ili kutoligawa taifa kihisia.
Kuepuka watu wa Tiafa moja kuwa na hali tofauti kwa wakati mmoja hawa wanashangilia na hawa wanaomboleza.

Namkubali sana Lisu.
Hekima ni Roho toka kwa Mungu. Ukikosa hekima uongozi unakua mgumu sana. Lisu atumie hekima na Busara wakati huu.
Ghasia na vurumai zikitokea wakati huu wa Maombolezo litakua ni jambo lisilo na Busara wala Hekima. Wanaweza wakamuacha wasimkamate lakini wananchi hawa hawa wanaopenda kuona mila zetu na utaifa wetu unatuunganisha watakosa imani na Lisu na kumuona kuwa ni mtu Katili asiyejali hata hisia za wanafamilia ya Mkapa. Hii itakua ni dosara kubwa. Bora hata angeahirisha mpaka Hayati B.W. Mkapa akazikwa kwa heshima.

Ningekua ni Mimi Lisu , ambaye kwa kiwango Kikubwa nimewahi kufanyiwa ubaya na roho mbaya sana na binadam kuliko hata wanyama wa mwituni ningefanya yafuatayo :-
Ama ningesogeza Mbele tarehe ya kurejea nchini mpaka Mazishi ya Hayati Mkapa yapite au Ningekuja lakini ningewaomba watanzani wenye mapenzi mema na Taifa letu wasifanye mapokezi yoyote na shamra shamra kubwa za mapokezi.
Baada ya kutua Air Port ningekwenda moja kwa moja mpaka kwa Hayati Benjamin Mkapa kumpa Mkono wa Pole Mjane wa Marehemu mama ana Mkapa.
Hii ingemjengea heshima kubwa sana kitaifa na kimataifa na kuwafundisha vijana wadogo hasa wa miaka ya 82 na wazee ndani ya mavyama ya siasa kuwa Chuku haiondolewi kwa Chuki Bali huondolewa kwa Upendo. Giza linaondolewa na NURU.
Kwenda Moja kwa moja kwenye msiba ingempa nafasi kubwa ya kuonana na watu wengi,miongoni mwao ni Wale walioshangilia mateso yake. Hii pia italeta hisia na imani kubwa kwa Watanzania kuamini kuwa Lisu sio mtu wa visasi zaidi ya amani.

Ni ushauri wangu tu kwa kuwa Sijawahi kumwona Lisu akiwa na ubaya na mtu zaidi ya kupambana kwa hoja za kisiasa.

Lakini pia kuna jambo naliona dhahiri toka kwa Mbowe na wenyeviti wengine wa vyama; wanatamani Jambo lingine baya zaidi limpate Lisu ili iwe ndiyo kafara yao kisiasa wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi lakini kwa hakika hawana nia njema na Lisu zaidi ya kutaka kuona serikali inakosea kwa kumkamata Lisu na kuibua Tafrani ili eti Mabeberu ya huko Gomora yaibuke na kuiwekea serikali vikwazo vikali kwa kutoheshimu haki za binadam.
Ikumbukwe kuwa endapo Lisu atafanya jambo litakalofanya akamatwe basi ni dhahiri kuwa yeye ndiye atakayebebeshwa lawama kubwa kuwa amejitakia na akitiwa Gerezani ni dhahiri kuwa hataachiwa mpaka uchaguzi upite, jambo litakalomnyima fursa ya kufanya kampeni kwenye mikutano ya hadhara.
Lakini kwenda kwenye msiba kimya kimya na kushikana mikono na watu kama Waheshimiwa Ma Spika wa zamani na Mzee Joseph Warioba na wengine kutaleta hisia kubwa za utaifa. Endapo Lisu atatangaza hadharani kuwa wapenzi na mashabiki wake watulie kipindi hiki kigumu kwa familia ya Mkapa na taifa kwa ujumla litakua ni jambo litakaloifanya serikali ikose sababu za kumtendea Lisu ubaya.

Pia naishauri Serikali iepuke kumkamata Lisu wakati huu wa Maonbolezo makubwa ya Taifa na pia kuelekea uchaguzi Mkuu.
Tuiache asili na mila za kiafrika zihukumu endapo Lisu na Mbowe watahamasisha kufanyika kwa mapokezi na shamra shamra zifanyike wakati huu wa Msiba.
Watanzania na waafrika watasikitika sana kuona Lisu akishindwa kuheshimu mila na Desturi za kiafrika wakati wa msiba.
Lisu atajipunguzia maksi yeye Mwenyewe.

Huu ndio wakati wa Serikali na Tundu wa kuonyesha Hekima,Busara na maarifa makubwa kuhusiana na Ishu ya Lisu.
Mbona hatukuheshimu uafrika wetu kwa kumtwanga Risasi zote zile?
 
Kama haogopi kwanini ameomba kulindwa? Kwanini anjisemesha semesha ili watu wamsikie?
Ukweli ni kwamba anahofia kifo pia kwa sasa hanapesa za kuendelea kuishi huko. Ina maana hana namna nyingine zaidi ya kurudi.
Ulihusika nini? Naona povu kama lote.Anarudi aisee
 
Ikumbukwe kuwa endapo Lisu atafanya jambo litakalofanya akamatwe basi ni dhahiri kuwa yeye ndiye atakayebebeshwa lawama kubwa kuwa amejitakia na akitiwa Gerezani ni dhahiri kuwa hataachiwa mpaka uchaguzi upite, jambo litakalomnyima fursa ya kufanya kampeni kwenye mikutano ya hadhara.
Kama Lissu atakamatwa na serikali na kuwekwa kizuizini, hakutakuwa na kampeni wala uchaguzi mkuu mwaka huu.
 
Kwa Ushauri wangu!!
Lisu angekadili na uongozi wa Chadema na kufikia Muafaka kuwa wasifanye shamra shamra za mapokezi kwa sababu ya Kuheshimu Uafrika wetu wakati huu wa Msiba mkubwa wa Kitaifa.

Nafikiri Lisu angesema mwenyewe kuwa anawaomba watanzania waendelee na Maombolezo ili kutoligawa taifa kihisia.
Kuepuka watu wa Tiafa moja kuwa na hali tofauti kwa wakati mmoja hawa wanashangilia na hawa wanaomboleza.

Namkubali sana Lisu.
Hekima ni Roho toka kwa Mungu. Ukikosa hekima uongozi unakua mgumu sana. Lisu atumie hekima na Busara wakati huu.
Ghasia na vurumai zikitokea wakati huu wa Maombolezo litakua ni jambo lisilo na Busara wala Hekima. Wanaweza wakamuacha wasimkamate lakini wananchi hawa hawa wanaopenda kuona mila zetu na utaifa wetu unatuunganisha watakosa imani na Lisu na kumuona kuwa ni mtu Katili asiyejali hata hisia za wanafamilia ya Mkapa. Hii itakua ni dosara kubwa. Bora hata angeahirisha mpaka Hayati B.W. Mkapa akazikwa kwa heshima.

Ningekua ni Mimi Lisu , ambaye kwa kiwango Kikubwa nimewahi kufanyiwa ubaya na roho mbaya sana na binadam kuliko hata wanyama wa mwituni ningefanya yafuatayo :-
Ama ningesogeza Mbele tarehe ya kurejea nchini mpaka Mazishi ya Hayati Mkapa yapite au Ningekuja lakini ningewaomba watanzani wenye mapenzi mema na Taifa letu wasifanye mapokezi yoyote na shamra shamra kubwa za mapokezi.
Baada ya kutua Air Port ningekwenda moja kwa moja mpaka kwa Hayati Benjamin Mkapa kumpa Mkono wa Pole Mjane wa Marehemu mama ana Mkapa.
Hii ingemjengea heshima kubwa sana kitaifa na kimataifa na kuwafundisha vijana wadogo hasa wa miaka ya 82 na wazee ndani ya mavyama ya siasa kuwa Chuku haiondolewi kwa Chuki Bali huondolewa kwa Upendo. Giza linaondolewa na NURU.
Kwenda Moja kwa moja kwenye msiba ingempa nafasi kubwa ya kuonana na watu wengi,miongoni mwao ni Wale walioshangilia mateso yake. Hii pia italeta hisia na imani kubwa kwa Watanzania kuamini kuwa Lisu sio mtu wa visasi zaidi ya amani.

Ni ushauri wangu tu kwa kuwa Sijawahi kumwona Lisu akiwa na ubaya na mtu zaidi ya kupambana kwa hoja za kisiasa.

Lakini pia kuna jambo naliona dhahiri toka kwa Mbowe na wenyeviti wengine wa vyama; wanatamani Jambo lingine baya zaidi limpate Lisu ili iwe ndiyo kafara yao kisiasa wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi lakini kwa hakika hawana nia njema na Lisu zaidi ya kutaka kuona serikali inakosea kwa kumkamata Lisu na kuibua Tafrani ili eti Mabeberu ya huko Gomora yaibuke na kuiwekea serikali vikwazo vikali kwa kutoheshimu haki za binadam.
Ikumbukwe kuwa endapo Lisu atafanya jambo litakalofanya akamatwe basi ni dhahiri kuwa yeye ndiye atakayebebeshwa lawama kubwa kuwa amejitakia na akitiwa Gerezani ni dhahiri kuwa hataachiwa mpaka uchaguzi upite, jambo litakalomnyima fursa ya kufanya kampeni kwenye mikutano ya hadhara.
Lakini kwenda kwenye msiba kimya kimya na kushikana mikono na watu kama Waheshimiwa Ma Spika wa zamani na Mzee Joseph Warioba na wengine kutaleta hisia kubwa za utaifa. Endapo Lisu atatangaza hadharani kuwa wapenzi na mashabiki wake watulie kipindi hiki kigumu kwa familia ya Mkapa na taifa kwa ujumla litakua ni jambo litakaloifanya serikali ikose sababu za kumtendea Lisu ubaya.

Pia naishauri Serikali iepuke kumkamata Lisu wakati huu wa Maonbolezo makubwa ya Taifa na pia kuelekea uchaguzi Mkuu.
Tuiache asili na mila za kiafrika zihukumu endapo Lisu na Mbowe watahamasisha kufanyika kwa mapokezi na shamra shamra zifanyike wakati huu wa Msiba.
Watanzania na waafrika watasikitika sana kuona Lisu akishindwa kuheshimu mila na Desturi za kiafrika wakati wa msiba.
Lisu atajipunguzia maksi yeye Mwenyewe.

Huu ndio wakati wa Serikali na Tundu wa kuonyesha Hekima,Busara na maarifa makubwa kuhusiana na Ishu ya Lisu.
Bar zinaendelea kuuza, soka linaendelea kuchezwa, miziki inaendelea kupigwa..au hayo kwako ni matukio ya huzuni? Acha kupangia watu nini wafanye nini wasifanye! Aliekufa ameishi maisha yake tayari, isiwe sababu ya kuzuia wengins waishi maisha yao
 
Ulihusika nini? Naona povu kama lote.Anarudi aisee
Maisha yamebadilika sana. Hutaamini atakavyopokelewa na kuzimika taratibu.
Wajumbe wamemtosa pigo mabadiliko halisia ndani ya chama.

Pigo la pili ni matumizi mabaya ya Musiba.
Wapambe wake wametia maji msibani ..alipashwa kuheshimu hisia za wapiga kura (wajumbe) wanaheshimu misiba na kwao ni Ibada kamili.
Hizi ni Mila na desturi za wajumbe kwa ujumla wake lakini hajatumia kama nafasi hii pekee ili kulia na kuomboleza nao.
Pigo la tatu ni barua za kutishia walinzi wanaolinda usalama wako. Hapo imekula kwake.
Tegemea mapokezi dhaifu toka kwa walinzi. Mlinzi ni sawa sasa na Wajumbe.
Mwisho, kwa mara ya kwanza atakanyaga na kutumia vitu vyote alivyovinajisi kwa kauli zake.

Kwanza Terminal 3, ndege za (AirTz) , Barabara zenye Flyover.
Atakunywa maji yaliyoletwa na Dictator uchwara. Atacharge simu yake kwa umeme wa yule aliyemwita Mshamba. Maisha yake hayawezi kukwepa ustawi mpya uliojengwa na JPM
(Things fall apart) Kitabu
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake, bali pia yatakuwa ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie, ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Asante mungu kwa sababu ya Lisu anarudi nyumbani
 
Back
Top Bottom