Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Sio sababu ya kufanya kama hao ambao hawawezi kamwe kujitikeza na kujitaja mana wanajua kuwa walilolitenda sio jambo jema.

Hatutaki mtu au Chama kitakachozidisha au kujenga mpasuko zaidi badala ya kutuleta pamoja kama Taifa.

Mungu anapompa mtu ukuu na utawala juu ya watu ana makusudi ya kuleta mabadiliko katika nyakati.

Kama tutaiondoa CCM halafu tuleta Chama chenye watendaji wenye hulka ile ile basi tutakua tumeruka mkojo tukakanyaga mavi.

Utofauti wa Mh .Magufuli na mtangulizi wake ndicho kilichoifufua CCM.
No matter kama anafanya vizuri au laa.
Chadema ikiingia ikaiga mbinu hizi hizi za CCM basi itatawala awamu moja tuu.
Mbona hatukuheshimu uafrika wetu kwa kumtwanga Risasi zote zile?
 
Sio sababu ya kufanya kama hao ambao hawawezi kamwe kujitikeza na kujitaja mana wanajua kuwa walilolitenda sio jambo jema.

Hatutaki mtu au Chama kitakachozidisha au kujenga mpasuko zaidi badala ya kutuleta pamoja kama Taifa.

Mungu anapompa mtu ukuu na utawala juu ya watu ana makusudi ya kuleta mabadiliko katika nyakati.

Kama tutaiondoa CCM halafu tuleta Chama chenye watendaji wenye hulka ile ile basi tutakua tumeruka mkojo tukakanyaga mavi.

Utofauti wa Mh .Magufuli na mtangulizi wake ndicho kilichoifufua CCM.
No matter kama anafanya vizuri au laa.
Chadema ikiingia ikaiga mbinu hizi hizi za CCM basi itatawala awamu moja tuu.
Chadema wametendewa mambo mengi sana yasiyofaa,lakini uvumilivu wao ndiyo umeleta Amani hii tuliyo nayo hadi Leo. Wangekuwa ni watu wa visasi sijui tungekuwa kwenye hali gani
 
Back
Top Bottom